Category: Kitaifa

1 144 145 146 147 148 183 1460 / 1828 POSTS
Mtoto auawa na kutolewa sehemu za siri

Mtoto auawa na kutolewa sehemu za siri

Mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, wilayani Sokonge , Mkoa wa Tabora, Maria Ngassa(13) ameuawa kikatili wakati akienda kisimani [...]
Ahueni kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa

Ahueni kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa huku bei ya dizeli ikiongezeka [...]
Vituo shinikizi vyaleta neema Lindi

Vituo shinikizi vyaleta neema Lindi

Wananchi wa halmashauri za Lindi na Mtama, wamesema uamuzi wa Serikali wa kujenga shule shikizi katika maeneo yao umekuwa na manufaa kwa sababu imewao [...]
Hii hapa siri ya ushindi wa Tulia

Hii hapa siri ya ushindi wa Tulia

Historia imeandikwa tena nchini Tanzania kwa namna ambavyo Dkt. Tulia Ackson ameibuka mshindi wa nafasi ya spika kwa kupata kura 376 sawa na 100% ya k [...]
Mama azaa watoto wanaobadilika jinsia

Mama azaa watoto wanaobadilika jinsia

Mama mmoja kutoka Bukoba mwenye umri wa miaka 43, jina lake limehifadhiwa amekumbwa na sintofahamu baada ya  watoto wake watatu aliowazaa kuwa na jins [...]
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi kujinyonga kwa askari mahabusu

Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi kujinyonga kwa askari mahabusu

Baada ya kuwepo kwa maneno ya sintofahamu kuhusu tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Msaidizi Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Grayson Mahembe, Jeshi hilo la [...]
Lindi washukuru fedha za tozo kwa kuboresha sekta ya Afya

Lindi washukuru fedha za tozo kwa kuboresha sekta ya Afya

Wakazi wa kata ya Mvuleni, manispaa ya Lindi wameeleza watakavyonufaika na uwepo wa kituo cha afya cha kisasa kilichojengwa kutokana fedha za tozo za [...]
Fedha za Uviko kuzalisha shule maalum Tanga

Fedha za Uviko kuzalisha shule maalum Tanga

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia fedha za mpango wa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko-19 [...]
Maafisa 7 mbaroni mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Maafisa 7 mbaroni mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Maafisa saba wa polisi wamefunguliwa mashtaka ya kifo cha Mussa Hamisi Hamisi, mfanyabiashara mwenye umri wa miaka ishirini na mitano aliyepigwa hadi [...]
JICA yatoa vifaa vitakavyoisaidia TRA katika ukusanyaji wa mapato

JICA yatoa vifaa vitakavyoisaidia TRA katika ukusanyaji wa mapato

SHIRIKA la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) limekabidhi vifaa vya ukaguzi na udhibiti wa bodi kusaidia mpango wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA [...]
1 144 145 146 147 148 183 1460 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!