Category: Kitaifa

1 154 155 156 157 158 183 1560 / 1828 POSTS
Zijue Faida na hasara msanii kuwa chini ya ‘Record label’

Zijue Faida na hasara msanii kuwa chini ya ‘Record label’

Je, kipi ni bora, kuwa chini ya Record Label au kuwa msanii unayejitegemea kwa kila kitu? Leo utajifunza faida za hasara za kuwa msanii wa muziki chin [...]
Aweso atinga DAWASA usiku, ataka hadi kieleweke

Aweso atinga DAWASA usiku, ataka hadi kieleweke

Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso atinga katika ofisi za DAWASA usiku wa kuamkia Novemba 18, 2021, Waziri alizuru katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam i [...]
Kauli ya Rais Samia kuhusu mgao wa maji

Kauli ya Rais Samia kuhusu mgao wa maji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa tatizo la maji katika miji mikubwa kama Dar es Salaam litaenda ku [...]
Mwanafunzi ajeruhiwa kisa Mahusiano

Mwanafunzi ajeruhiwa kisa Mahusiano

Mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Mbogi, Wilayani Tarime amejeruhiwa vibaya kwa kisu na kuachwa na majeraha makubwa. [...]
Mwanafunzi wa shule ya msingi ajinyonga

Mwanafunzi wa shule ya msingi ajinyonga

Mwanafunzi wa shule ya Msingi Lukobe, Egdius Edmund mwenye umri wa miaka 13 mkazi wa mtaa wa Tushikamane Manispaa ya Morogoro amekutwa amejinyonga had [...]
Madalali wasema wataendelea kuchukua kodi ya mwezi

Madalali wasema wataendelea kuchukua kodi ya mwezi

Jana (Novemba 15,2021) Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi alipiga marufuku madalali wa nyumba kuchukua kodi ya [...]
Sanaa zilizoibwa miaka 130 iliyopita zarudishwa Afrika

Sanaa zilizoibwa miaka 130 iliyopita zarudishwa Afrika

Mataifa mengi ya barani Ulaya na Marekani kwa miaka mingi yamekuwa yakishikilia sanaa mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika tangu enzi za uko [...]
Huu ndio utajiri wa Paul Makonda

Huu ndio utajiri wa Paul Makonda

Mwaka 2017 sakata la mali zinazodaiwa kuwa  za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makon [...]
Paul Makonda kufikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Paul Makonda kufikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka. T [...]
Machinga wadaiwa kuvamia Kanisa

Machinga wadaiwa kuvamia Kanisa

Kanisa la Orthodox, Jimbo la Dar es Salaam, limedai kwamba wafanyabiashara ndogo (machinga) wamevamia eneo la Kanisa lao lilipo mtaa wa Salasala katik [...]
1 154 155 156 157 158 183 1560 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!