Category: Kitaifa

1 38 39 40 41 42 183 400 / 1828 POSTS
Rais Samia afikisha Daraja la JPM 74%

Rais Samia afikisha Daraja la JPM 74%

Miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan, daraja la JP Magufuli limefikia asilimia 74 ya ujenzi wake, ambapo mpaka sasa Sh bilioni 368.671 zimetolewa [...]
Maboresha katika Bandari ya Tanga yaanza kuleta matunda

Maboresha katika Bandari ya Tanga yaanza kuleta matunda

Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imepokea meli ambayo imebeba mzigo wa magari pamoja na shehena nyingine za mizigo kutoka nchini China. Meli hiy [...]
Zaidi ya Sh. Bilioni 100 kuboresha vyuo vya ufundi stadi

Zaidi ya Sh. Bilioni 100 kuboresha vyuo vya ufundi stadi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inawekeza zaidi ya Sh bilioni 100 kwa ajili ya kuboresha elimu kwenye vyuo vya ufundi na stadi mbal [...]
Maboresho Bandari ya Tanga yamkosha Balozi wa Rwanda nchini

Maboresho Bandari ya Tanga yamkosha Balozi wa Rwanda nchini

Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Meja Jenerali Charles Karamba amefanya ziara ya kutembelea Bandari ya Tanga. Lengo la ziara hiyo pamoja n [...]
Royal Tour Tanzania yazidi kujibu

Royal Tour Tanzania yazidi kujibu

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imepokea meli nyingine iliyobeba watalii kutoka Ufaransa. Meli hiyo ya utalii ijulikanayo k [...]
Suala la wabunge 19 tuiachie mahakama

Suala la wabunge 19 tuiachie mahakama

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuingilia kati suala la Wabunge 19 wanaodaiwa kuwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kutaka ma [...]
DC Iringa awataka kina mama kuachana na ‘vibenteni’

DC Iringa awataka kina mama kuachana na ‘vibenteni’

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Verronica Kessy amewaonya akina mama (wanawake watu wazima) wanaojihusisha kimapenzi na wavulana wadogo (vibenteni) akisema [...]
CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

CHADEMA kupokea milioni 102 ya ruzuku kwa mwezi

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema chama hicho kimekubali kupokea ruzuku ya Sh. milioni 102 kwa mw [...]
Tanzania haidaiwi zaidi ya sh. trilioni 10 na EIB

Tanzania haidaiwi zaidi ya sh. trilioni 10 na EIB

Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazoonekana kupitia mitandao ya kijamii kuwa Serikali inadaiwa Dola z [...]
Rais Samia aridhia waliovamia eneo la Uwanja wa KIA kulipwa fidia

Rais Samia aridhia waliovamia eneo la Uwanja wa KIA kulipwa fidia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itawalipia fidia wale wote waliovamia eneo la Uwanja wa Ndege wa Ki [...]
1 38 39 40 41 42 183 400 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!