Category: Kitaifa

1 61 62 63 64 65 191 630 / 1904 POSTS
Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Lissu: Rais hajafanya lolote katika madai yetu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitaamua kama kiendelee mazungumzo na CCM au la ifikapo mwezi ujao kwa kile wanachodai kuwa mambo [...]
Rais Samia kufanya ziara Lindi

Rais Samia kufanya ziara Lindi

Rais Samia Suluhu Hassan atafanya ziara ya kikazi mkoani Lindi ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa kushiriki maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duni [...]
Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia : Tunzeni siri za serikali

Rais Samia Suluhu Hassan amewahakikishia watunza kumbukumbu na nyaraka nchini kuwa Serikali itawalinda kwa kutambua kada hiyo ni kitovu cha Serikali. [...]
Mgawo wa maji Dar, Pwani umekwisha

Mgawo wa maji Dar, Pwani umekwisha

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala ametangaza kusitishwa rasmi kwa mgao wa maji katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani. Makala ameyasema hayo [...]
Hatimaye mkataba wa TPA na TICTS wafika tamati

Hatimaye mkataba wa TPA na TICTS wafika tamati

Hatimaye kilio cha wadau wa bandari kimesikika baada ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kusitisha mkataba wake na Kampuni Binafsi ya Kimataifa ya Ku [...]
Jenerali Mabeyo asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Iringa

Jenerali Mabeyo asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Iringa

Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amesimikwa rasmi kuwa Mkuu Mpya wa Chuo Kikuu cha Iringa akichukua nafasi ya Askofu Mstaafu [...]
Oman kuitangaza Tanzania

Oman kuitangaza Tanzania

Tanzania na Oman zimeweka mikakati ya ushirikiano katika sekta ya maasiliano, habari na teknolojia. Mikakati hiyo iliwekwa juzi wakati Waziri wa Ha [...]
Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Zaidi ya wananchi 11,000 wanatarajiwa kulipwa fidia Januari mwakani kupisha ujenzi wa daraja la juu la kisasa la Jangwani na uendelezaji wa Bonde la M [...]
Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akamilishe mradi wa maji unojengwa kwa Sh bilioni 1.7 wilayani Monduli. [...]
Bei elekezi vifurushi vya simu

Bei elekezi vifurushi vya simu

Serikali imeagiza watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi wasibadili bei ya vifurushi vya simu hadi serikali itapotoa bei elekezi Januari mwaka [...]
1 61 62 63 64 65 191 630 / 1904 POSTS
error: Content is protected !!