Category: Kitaifa

1 61 62 63 64 65 193 630 / 1928 POSTS
Kauli za wachezaji wa Morocco zilivyoibua hisia za Waafrika

Kauli za wachezaji wa Morocco zilivyoibua hisia za Waafrika

Hivi karibuni kumeibuka mjadala miongoni mwao waafrika hasa katika mitandao ya kijamii kufuatia kauli zinazotiliwa shaka kua ni kauli za kibaguzi kwa [...]
Wadau waitwa kujadili nauli za SGR

Wadau waitwa kujadili nauli za SGR

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeitisha kikao cha wadau kujadili nauli za abiria wa treni ya njia ya Reli ya Kisasa--SGR ambapo Shirika [...]
TRC yatangaza nauli za SGR

TRC yatangaza nauli za SGR

Shirika la Reli Tanzania TRC limependekeza nauli mbalimbali za abiria katika Treni za Reli ya Kisasa SGR ambapo mapendekezo hayo yamepelekwa mamlaka y [...]
Rais Samia kuifumua serikali

Rais Samia kuifumua serikali

Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wake, amebaini kuwepo kwa baadhi ya watu wasioendana na kasi yake. Am [...]
Mbeya sasa kuna njia nne

Mbeya sasa kuna njia nne

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya mjini, Humphrey Nsomba amempongeza Mwenyekiti wa chama hicho Taifa na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu kwa ujenzi w [...]
Misharahara mipya wafanyakazi wa ndani na hotelini

Misharahara mipya wafanyakazi wa ndani na hotelini

Serikali imetangaza viwango vipya vya kima cha chini cha mishahara kwa wafanyakazi wa ndani na hotelini ambavyo vitaanza kutumika Januari 1, 2023. [...]
Kicheko bei mpya za petroli na dizeli

Kicheko bei mpya za petroli na dizeli

Dar es Salaam. Huenda itakuwa kicheko na maumivu kwa watumiaji wa nishati ya mafuta baada ya kutolewa kwa bei mpya zinazoonyesha kupanda na kushuka kw [...]
Majadiliano Bomba la Mafuta TAZAMA yaanza

Majadiliano Bomba la Mafuta TAZAMA yaanza

Wakati bomba la mafuta la Tanzania likitarajiwa kusafirisha dizeli kutoka Tanzania hadi Zambia, mawaziri wa sekta hizo wamekutana kujadili na kutoa ma [...]
Ofa ya Rais Samia yapaisha mapato Wizara ya Ardhi

Ofa ya Rais Samia yapaisha mapato Wizara ya Ardhi

Mapato ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yameongezeka mara mbili kutokana na ofa iliyotolewa na Rais Samia Suluhu kwa wananchi ya kuli [...]
Ajira Jeshi la Polisi

Ajira Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camillus Wambura, tarehe 05.12.2022 ametoa tangazo la ajira kwa vija [...]
1 61 62 63 64 65 193 630 / 1928 POSTS
error: Content is protected !!