Category: Kitaifa
Majaliwa : Serikali ipo pamoja na nyie
Serikali imesema nyongeza ya mishahara 23% iliyotangazwa mwaka huu 2022, inawalenga watumishi kati asilimia 75 hadi 78 wanaopokea mishahara midogo, na [...]
Serikali yatoa ufafanuzi nyongeza ya mishahara
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi Leo [...]
Masanja akutwa na hatia ya kuzini na mwanawe
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Masanja Shija (58) baada ya kumkuta na hatia ya kufanya m [...]
Tanzania kusambaza umeme Afrika
Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 400 kutoka Iringa, Tanzania hadi Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari mwakani na utakami [...]
Rais Samia apongezwa na CHADEMA
Kada mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Morogoro, Acqulline Magalambura amesifu uteuzi wa wakuu wa mikoa uliofanywa na [...]
Makongoro: Nimenusurika
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amshukuru Rais Samia Suluhu Hassan wa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo.
Makongoro ameyasema hayo leo hi [...]
SUMA JKT waendelea na ujenzi wa nyumba 400 Msomera
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekagua ujenzi wa nyumba mpya 400 katika kijiji cha Msomera Wilayani Handeni, Mkoani Tang [...]
Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeiagiza kampuni ya bima ya Reliance ihakikishe waathirika wote wa ajali iliyoua watu 13 wakiwemo watoto [...]
Rais Samia apangua wakuu wa mikoa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa Wapya 09, kuwahamisha vituo vya kazi Wakuu wa Miko [...]
Mkongo wapigwa marufuku
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi kwa binadamu dawa aina ya Hensha maarufu Mkongo, inayomilikiwa na kituo cha [...]