Tag: habari kubwa za michezo
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku.
Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta Mei 2023
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli nchini, bezi hizi zitaanza kutumika kuan [...]
Uzalishaji wa maziwa nchini umeongezeka
Uzalishaji wa maziwa nchini umeongezeka kutoka lita bilioni 3.4 mwaka 2021/2022 hadi kufikia lita bilioni 3.6 mwaka 2022/2023 sawa na ongezeko la asil [...]
Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora
Wakati leo ni sikukuu ya Wafanyakazi duniani, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (ULINGO), umempatia Tuzo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ya kuwa mfan [...]
Salim Kikeke aaga BBC
Mtangazaji nguli wa habari wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC) ,Salim Kikeke ametangaza kustaafu kazi katika shirika hilo baada ya kulitumikia kwa [...]
Rais Kagame na ziara ya kikazi Tanzania
Mheshimiwa Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda atafanya Ziara ya Kikazi nchini kuanzia tarehe 27 hadi 28 April, 2023.
Mheshimiwa Rais Paul Kagam [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376
Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
MV Mwanza kufanya safari za Kenya na Uganda
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema meli ya kisasa ya Mv Mwanza Hapa Kazi Tu itaanza kufanya safari za Uganda na Kenya katika ziwa Victoria baada ya [...]
Magazeti ya leo Aprili 21,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Aprili 21,2023.
[...]
Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini
Serikali inatarajia kuvutia uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 667 sawa na Sh1.5 trilioni baada ya kuanza kuchimba na kuchakata madini ya kinywe na [...]

