Tag: habari kubwa za michezo

1 19 20 21 22 23 123 210 / 1222 POSTS
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku. Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta Mei 2023

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta Mei 2023

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli nchini, bezi hizi zitaanza kutumika kuan [...]
Uzalishaji wa maziwa nchini umeongezeka

Uzalishaji wa maziwa nchini umeongezeka

Uzalishaji wa maziwa nchini umeongezeka kutoka lita bilioni 3.4 mwaka 2021/2022 hadi kufikia lita bilioni 3.6 mwaka 2022/2023 sawa na ongezeko la asil [...]
Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora

Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora

Wakati leo ni sikukuu ya Wafanyakazi duniani, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (ULINGO), umempatia Tuzo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ya kuwa mfan [...]
Salim Kikeke aaga BBC

Salim Kikeke aaga BBC

Mtangazaji nguli wa habari wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC) ,Salim Kikeke ametangaza kustaafu kazi katika shirika hilo baada ya kulitumikia kwa [...]
Rais Kagame na ziara ya kikazi Tanzania

Rais Kagame na ziara ya kikazi Tanzania

Mheshimiwa Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda atafanya Ziara ya Kikazi nchini kuanzia tarehe 27 hadi 28 April, 2023. Mheshimiwa Rais Paul Kagam [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376

Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
MV Mwanza kufanya safari za Kenya na Uganda

MV Mwanza kufanya safari za Kenya na Uganda

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema meli ya kisasa ya Mv Mwanza Hapa Kazi Tu itaanza kufanya safari za Uganda na Kenya katika ziwa Victoria baada ya [...]
Magazeti ya leo Aprili 21,2023

Magazeti ya leo Aprili 21,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Aprili 21,2023. [...]
Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini

Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini

Serikali inatarajia kuvutia uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 667 sawa na Sh1.5 trilioni baada ya kuanza kuchimba na kuchakata madini ya kinywe na [...]
1 19 20 21 22 23 123 210 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!