Tag: habari za burudani
Romy Jons aomba msamaha
Dj na kaka wa msanii Diamond Platnumz, Romy Jons amewaomba radhi mashabiki zake, marafiki , mashabiki , mke wake na Watanzania kwa ujumla kwa yale yan [...]
Brazen: Maneno yenye uhalisia
Filamu ya “Brazen” inamuhusu mwanamama Grace Miller ambaye ni nyota maarufu wa vitabu vya simulizi nchini Marekani. Simulizi zake zilizobeba visa vya [...]
Insta yamfungia Kanye: apanga kuja na mtandao wake
Kampuni ya Meta imemfungia rapa Kanye West "Ye" kutopost kwa saa 24 kuanzia jana Machi 16 baada ya rapa huyo kupost picha ya mchekeshaji Trevor Noah n [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli
Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Ajinyonga na waya
Abdul Kasuku (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mpigimahoge amedaiwa kujinyonga kwa waya jana asubuhi katika shamba la mihog [...]
Rais Samia: Hii ndio Tanzania ninayoitaka
Rais Samia Suluhu Hassan anatimiza mwaka mmoja tangu achukue madaraka ya nchi, pamoja na maendeleo anayosimamia amebainisha mikakati yake muhimu na Ta [...]
Poland yatwaa taji Miss World
Miss Polonia (Poland) 2019, Karolina Bielawska, ameibuka mshindi wa mashindani Miss World 2021yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo huko Puerto Rico.
[...]
LHRC yalaani mauaji kigoma
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani tukio lililopelekea kifo cha Juma Ramadhani (35) kilichotokea tarehe 14, Machi 2022 katika uwanj [...]
Mike Tyson na Bangi za pipi
Mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani Mike Tyson amezindua aina mpya za bangi za pipi ambazo zipo kwenye umbo la sikio la binadamu alizozipa jina la 'M [...]
Mwanamke: Zingatia haya kabla ya kunyoa
Kunyoa kipara kwa mwanamke ni uamuzi wa kijasiri sana kwani inafahamika kwamba nywele ni moja ya urembo kwa mwanamke yoyote yule.
Lakini inabidi ut [...]

