Tag: habari za burudani

1 128 129 130 131 132 154 1300 / 1532 POSTS
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 19,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 19,2022

Hizi hapa video zinafanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Februari 19, 2022. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watch?v=j3kD [...]
Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ametoa onyo kwa mawazari pamoja na manaibu wao kuhakikisha wanahudhuria vikao vya [...]
Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ipo tayari kulipa gharama zote kwa walio tayari kuhama kwa hiari eneo la Ngorongoro na kusisitiza wanaot [...]
Fahamu chanzo cha ndoa ya Ali Kiba kufika mahakamani

Fahamu chanzo cha ndoa ya Ali Kiba kufika mahakamani

Mwanamuziki kutoka nchini Tanzania na mmiliki wa lebo ya King’s Music, AliKiba amefunguliwa kesi na mke wake raia wa Kenya, Amina Khalef kwa tuhuma za [...]
TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya ujio wa mvua kubwa za wastani mpaka juu ya wastani katika kipindi cha masika (Machi-Mei) kw [...]
Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza kutumia teknolojia ya skana za EDE kupima Uviko-19 kwa wasafiri wanaowasili na kusafiri kupitia uwanja wa nd [...]
Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Wakazi wa kitongoji cha Umasaini kilichopo nje kabisa ya mji wa Pangani, wameishukuru Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia madaras [...]
Meme ya P2 yamuibua Ummy Mwalimu 

Meme ya P2 yamuibua Ummy Mwalimu 

Meme ni maneno au picha zenye ujumbe wakuchekesha ambazo watu hutumiana kwa lengo la kufurahishana, meme hiz zimekuwa zikibeba jumbe mbalimbali na moj [...]
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
Zari na Diamond ndani ya Filamu moja

Zari na Diamond ndani ya Filamu moja

Msanii kutoka nchini Tanzania na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz amejikuta akiwa kwenye filamu moja pamoja na aliyewahi kuwa mpenzi wake, [...]
1 128 129 130 131 132 154 1300 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!