Tag: habari za kimataifa
Watumiaji wa Instagram na Facebook waendelea kupata changamoto
Kampuni ya Facebook imesema kuwa imepokea malalamiko toka kwa watumiaji zaidi ya 30,000 wakidai kuendelea kukosa huduma ya mtandao wa Facebook pamoja [...]
Zijue sababu 3 kwanini utumie maji ya Malimao kwenye sura yako
Limao ni tunda jamii ya Chungwa ambalo hutumika sana kama kiungo kwenye chakula. Licha ya matumizi ya limao katika maisha yetu ya kila siku, lakini ba [...]
Leo katika historia: Shirika la posta duniani lilianzishwa
Leo, tarehe 9 Oktoba ni Siku ya Kimataifa ya Shirika la Posta duniani. Posta ndio chombo cha kale zaidi na kikubwa cha mawasiliano baina ya watu wa nc [...]
Whatsapp kuja kivingine
Mtandao wa Whatsapp umesema upo kwenye majaribio ya kuweka mfumo mpya wa kusikiliza ujumbe wa sauti (voice note) ambao utamuwezesha mtumiaji kusikiliz [...]
Rais Samia ateua na kutengua
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Oktoba amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi kadhaa kama ifuatavyo.
Rais [...]
Anza Wikiendi yako na filamu hii ya ‘MIMI’
Katika filamu hii, mhusika (Mimi) anaigiza kama binti maskini mwenye ndoto za kuwa mwigizaji mkubwa lakini ndoto hizo zinakatishwa baada ya wanandoa w [...]
Video ya utupu ya Tiwa Savage yavuja, mwenyewe afunguka
Akiwa kwenye kipindi cha The Angie Martinez Show mwanamuziki nyota kutoka nchini Nigeria, Tiwa Savage ameweka wazi kuhusu video ya ngono inayomuonesha [...]
Miaka 90 ya Desmundu Tutu na kumbukizi ya Sera ya Kibaguzi Afrika Kusini
Askofu Desmond Mpilo Tutu alizaliwa Oktoba, 7 1931 katika mji wa Klerksdorp Afrika Kusini. Wazazi wake walitoka makabila ya Xhosa na Tswana na akiwa m [...]
Kikongwe wa miaka 100 mahakamani kwa makosa wakati wa vita ya pili ya Dunia
Kikongwe mwenye umri wa miaka 100 ambaye alilitumikia Jeshi la Ujerumani (SS guard) wakati wa vita ya pili ya Dunia, kesi yake itaanza kusikilizwa leo [...]
Baada ya miaka 10, chanjo ya kwanza ya Malaria yathibitishwa
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vilemea aina nne: P falciparum, P Malarie, P. Ovale na P. vivax. Vimelea hivyo hubebwa na kusambazwa na mbu jike [...]