Tag: nafasi za kazi
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa
Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Maunda Zorro kuzikwa kesho
Mwili wa Msanii Maunda Zorro unatarajiwa kuagwa na kuzikwa siku ya Jumamosi Aprili 16 eneo la Toangoma, Kigamboni.
Hayo yamesemwa jana Alhamisi Apri [...]
TAMISEMI yafafanua pikipiki za Milioni 11
TAMISEMI imetoa ufafanuzi kuhusu alichokiwasilisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Innocent Bashungwa katika wasilisho la Makadirio ya Mapato [...]
Rihanna na ASAP: Maji tayari yamemwagika
Tetesi zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii hasa Twitter ni kwamba mwanamitindo na muimbaji Rihanna ameachana na mchumba wake Rapa ASAP Rocky baad [...]
Akiwa hivi, basi anaridhika
Si jambo rahisi kwa mwanaume kujua kwamba mwanamke wake anaridhika kimapenzi kwani wapo ambao wanaweza kudanganya ili mradi tendo limalize alale au ao [...]
Funzo mimba ya Rihanna
Kama wanawake kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa mwanamitindo, mfanyabiashara, muimbaji na bilionea Rihanna kutokana na jinsi anavyoishi kipindi hiki [...]
Pochi la Rais Samia lafunguka Idodi
Changamoto za huduma ya afya za wananchi wa Iringa zimefika kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Rais Samia Suluhu nae akusita kuboresha k [...]
Takukuru yamkalia kooni Raibu
Taasisi ya Kupigana na Kupambana na Rushwa, (Takukuru) imesema imepokea malalamiko yamhusiyo aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini, Juma Raibu na [...]
Makamba: Mfumo huu si msahafu
Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema utaratibu wa uagizaji wa pamoja wa mafuta sio msahafu,hivyo unaweza kubadilishwa wakati wowote kwa manufaa [...]
Magazeti ya leo Aprili 14,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi 14,2022.
[...]