Tag: nafasi za kazi

1 69 70 71 72 73 81 710 / 808 POSTS
Diamond, Harmonize kukinukisha Machi 4

Diamond, Harmonize kukinukisha Machi 4

Mahasimu wawili kwenye muziki wa bongo fleva nchini Tanzania Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Rajabu Abdul ‘Harmonize’ wanatarajia kuonyeshana mabav [...]
Harmonize aitwa wokovuni

Harmonize aitwa wokovuni

Mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu Dr.GeorDavie  kutoka Arusha ameupiga na kuucheza wimbo wa 'Mwaka Wangu' uliombwa na msanii wa Bongofleva na mmiliki wa le [...]
Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ipo tayari kulipa gharama zote kwa walio tayari kuhama kwa hiari eneo la Ngorongoro na kusisitiza wanaot [...]
Wauzaji wa nyeti za binadamu wakamatwa

Wauzaji wa nyeti za binadamu wakamatwa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, ACP Richard Abwao amesema wanawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kujihusisha na uuzaji wa viungo vya binadamu ikiwem [...]
Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni ya San Francisco Neuralink, inayoendeshwa  na Elon Musk, imekuwa ikifanya kazi kwenye chip ambayo inaweza kupandwa kwenye ubongo wa mwanadamu [...]
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa

Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa

Maabara ya hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeingia katika orodha ya maabara zinazotoa huduma bora duniani baada ya kupata ithibati ya ubor [...]
Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Mkurugenzi wa Mawasiliano-Ikulu, Bi. Zuhura Yunus alitoa taarifa siku ya jana Februari 9,2022 ikisema Rais Samia akiwa nchini Ufaransa atashuhudia uti [...]
Dully Sykes aeleza kinachomsibu Profesa Jay

Dully Sykes aeleza kinachomsibu Profesa Jay

Msanii nguli wa bongofleva Dully Sykes a.k.a Mr Misifa ameeleza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa mwanamuziki na aliyewahi kuwa mbunge wa Mikumi, [...]
Keisha alilia mrabaha wake bungeni

Keisha alilia mrabaha wake bungeni

Msanii na Mbunge wa Viti Maalumu Khadija Taya maarufu kama Keisha, amefunguka bungeni na kuanza kudai mirabaha na kusema na yeye anastahili kupewa kwa [...]
1 69 70 71 72 73 81 710 / 808 POSTS
error: Content is protected !!