Author: Cynthia Chacha

1 147 148 149 150 151 241 1490 / 2407 POSTS
Serikali yapiga marufuku wagonjwa wa saratani kurudishwa nyumbani

Serikali yapiga marufuku wagonjwa wa saratani kurudishwa nyumbani

Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imetakiwa kutomrudisha mgonjwa yeyote wa Saratani nyumbani kwa sababu ya kutokuwa na pesa za matibabu. Kauli hiyo [...]
Wadudu hawa hufanya mapenzi kwenye uso wako

Wadudu hawa hufanya mapenzi kwenye uso wako

Wadudu chini ya ngozi ya uso kama vile Demodex folliculorum hutumia maisha yao yote kuishi ndani kabisa ya uso wa mwanadamu. Usiku, viumbe hao huon [...]
Magazeti ya leo Juni 28,2022

Magazeti ya leo Juni 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 28,2022. [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Mahakama yaweka zuio akina Mdee kuguswa

Mahakama yaweka zuio akina Mdee kuguswa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27,2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye ubunge wa Halima Mdee na wenzake [...]
Kesi ya kina Mdee kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya kina Mdee kuanza kusikilizwa leo

Shauri la waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, Halima Mdee na wenzake wanaoomba ridhaa ya mahakama kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama chao kuwav [...]
Madhara ya kuvaa mawigi

Madhara ya kuvaa mawigi

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ngozi kutoka Hospitali ya Lugalo, Dk. Msafiri Kombo, alisema kitendo cha wanawake kuvaa mawigi ambayo tayari yameshavali [...]
Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulgea amesema seriklai imejipanga kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mazi [...]
Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Kamisa wa sensa nchini, Anne Makinda amesema Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti, mwaka huu, itakapokamilika itaisaidia serikali na kumpa Ra [...]
Tanzania yapata tuzo ya Ubunifu wa Kutangaza Utalii

Tanzania yapata tuzo ya Ubunifu wa Kutangaza Utalii

Tanzania imefanikiwa kupata Tuzo ya Banda Bora lenye Ubunifu wa Kutangaza Utalii katika maonesho ya 37 ya utalii ya Seoul International Travel Fair (S [...]
1 147 148 149 150 151 241 1490 / 2407 POSTS
error: Content is protected !!