Author: Cynthia Chacha

1 207 208 209 210 211 244 2090 / 2431 POSTS
LHRC yalaani mauaji kigoma

LHRC yalaani mauaji kigoma

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani tukio lililopelekea kifo cha Juma Ramadhani (35) kilichotokea tarehe 14, Machi 2022 katika uwanj [...]
Mike Tyson na Bangi za pipi

Mike Tyson na Bangi za pipi

Mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani Mike Tyson amezindua aina mpya za bangi za pipi ambazo zipo kwenye umbo la sikio la binadamu alizozipa jina la 'M [...]
Mwanamke: Zingatia haya kabla ya kunyoa

Mwanamke: Zingatia haya kabla ya kunyoa

Kunyoa kipara kwa mwanamke ni uamuzi wa kijasiri sana kwani inafahamika kwamba nywele ni moja ya urembo kwa mwanamke yoyote yule. Lakini inabidi ut [...]
Hali ya Watanzania waliopo Ukraine

Hali ya Watanzania waliopo Ukraine

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema kuwa Watanzania wote waliokuwa wamekwama nchini Ukraine ku [...]
Mange Kimambi apata pigo

Mange Kimambi apata pigo

Zaidi ya wafanyakazi 10 wa Mange Kimambi app wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya mtandao kutokana na video iliyowekwa kwenye mtanda [...]
Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili kati ya tano aliowateua jana Machi 15 ambao ni Bw. Humph [...]
Pambano kali kati ya Putin na Elon Musk

Pambano kali kati ya Putin na Elon Musk

Tajiri mkubwa duniani Elon Musk, ameibua mjadala katika mitandao ya jamii baada ya kuandika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa anaomba pambano la ng [...]
EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezitaka nchi za wanachama wake kuongeza kasi ya kuzuia na kukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika kipindi cha mv [...]
Diamond: Mwijaku ananitumia message

Diamond: Mwijaku ananitumia message

Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz ambaye hivi karibuni ameachia EP yake ya First Of All (FOA) ameweka wazi kwamba hana chuki wala [...]
Majaliwa awaonya wapotoshaji Ngorongoro

Majaliwa awaonya wapotoshaji Ngorongoro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa watu wanaotoa maneno ya uchochezi na kupotosha kuhusiana na suala la kuwahamisha wananchi kutoka hifadhi [...]
1 207 208 209 210 211 244 2090 / 2431 POSTS
error: Content is protected !!