Author: Cynthia Chacha

1 207 208 209 210 211 252 2090 / 2517 POSTS
Majaliwa: bei zishuke

Majaliwa: bei zishuke

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi wazalishaji na wafanyabiashara wa bidhaa muhimu kutopandisha bei za vitu kiholela bila utaratibu na hatua kali k [...]
Harmonize, Diamond watofautiana

Harmonize, Diamond watofautiana

Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize ametofautiana kimawazo na aliyewahi kuwa msimamizi wake kutoka lebo ya Wa [...]
Rostam Aziz awa mmiliki mpya wa Tigo na Zantel

Rostam Aziz awa mmiliki mpya wa Tigo na Zantel

Mfanyabiashara wa Tanzania Rostam Aziz na muungano wa kampuni ya Axian Group Ltd ya Madagascar wamekamilisha ununuzi wa Tigo Tanzania na Zantel. Ra [...]
Mkurugenzi Mange App kizimbani

Mkurugenzi Mange App kizimbani

Mkurugenzi wa Mtandao wa Kijamii wa U turn Collection, Allen Mhina (31) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu [...]
JJ Mungai wafurahia madarasa ya Samia

JJ Mungai wafurahia madarasa ya Samia

Walimu, wazazi na wanafunzi wa Shule ya Sekondari JJ Mungai iliyopo halmashauri ya Mjini wa Mafinga wameeleza furaha yao kwa ujenzi wa madarasa uliofa [...]
Lil Nas abadilika baada ya Grammy’s

Lil Nas abadilika baada ya Grammy’s

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, lil Nas X amesema anaacha na ushoga rasmi baada ya kushindwa kupata tuzo yoyote siku ya ugawaji wa tuzo za Grammy. [...]
Fahamu haya kabla yaa kurekodi video za utupu

Fahamu haya kabla yaa kurekodi video za utupu

Hivi karibuni video za utupu za watu zimekuwa zikivuja sana kwenye mitandao ya kijamii , huku swali kubwa likiwa ni kwanini wamejirekodi badala ya kwa [...]
Aliyeandika barua kuacha shule arejea

Aliyeandika barua kuacha shule arejea

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya SEkondari Msimbati, Taufiq Hamisi (15) ambaye aliandika barua ya kuacha shule kutokana na ugumu wa mai [...]
Muliro: marufuku Daraja la Tanzanite

Muliro: marufuku Daraja la Tanzanite

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Jeshi hilo limepiga marufuku kwa mtu asiyehusika kufika chini ya Daraja hilo kuto [...]
1 207 208 209 210 211 252 2090 / 2517 POSTS
error: Content is protected !!