Category: Elimu

1 9 10 11 12 13 37 110 / 361 POSTS
Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Maskini akipata, matako hulia mbwata ndio msemo unaoweza kufananishwa na kile alichofanya Sibongile Mani, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Walter Sisulu ( [...]
Njombe wamshukuru Rais Samia

Njombe wamshukuru Rais Samia

Halmashauri ya Njombe mji ni miongoni wa Halmashauri ilionufaika na fedha za mpango wa ustawi na mapambano dhidi ya UVIKO-19. Miongoni mwa shule zi [...]
Utafiti: Nusu ya mimba duniani hazikutarajiwa

Utafiti: Nusu ya mimba duniani hazikutarajiwa

Ripoti mpya ya idadi ya watu inaeleza kuwa karibu nusu ya mimba zinazotungwa kila mwaka duniani zinakuwa siyo za kutarajiwa ambapo husababishwa na uko [...]
Fahamu njia ya uzazi wa mpango kwa kugandisha mayai

Fahamu njia ya uzazi wa mpango kwa kugandisha mayai

Moja kati ya hofu ya wanawake wengi ni kuchelewa kupata mtoto kwa kuhofia mtoto kukosa virutubisho vya muhimu kwenye ukuaji lakini pia mayai kuzeeka i [...]
Njia 7 za kuishi na jirani mwenye gubu

Njia 7 za kuishi na jirani mwenye gubu

Mbali na kuangalia kama mwenye nyumba anaishi eneo hilo hilo unalopanga jambo lingine la muhimu kuzingatia ni aina za majirani wanaokuzunguka. Kuna [...]
Fahamu mambo haya 3 kabla hujamvisha pete

Fahamu mambo haya 3 kabla hujamvisha pete

Kumvesha pete mwanamke unayempenda na kujua kwamba atakufaa katika safari yako ya maisha sio jambo baya bali kuna vitu unapaswa kuzingatia kabla ya ku [...]
Usipake vitu hivi usoni

Usipake vitu hivi usoni

Kwenye karne hii ambayo teknolojia imekua na watumiaji pia wamekua wengi, watu hupenda kujifunza vitu mbalimbali kupitia mitandao hasa Youtube ambapo [...]
Msichana: Epuka haya ukiwa mwezini

Msichana: Epuka haya ukiwa mwezini

Ni kawaida kwa msichana kupata hedhi kila mwezi ambapo huambatana na mabadiliko mbalimbali ya mwili na wengi kupata maumivu makali. Hivyo basi kuna [...]
Mambo 5 yakuzingatia kabla hujachagua kava la simu

Mambo 5 yakuzingatia kabla hujachagua kava la simu

Unaponunua kava la simu unatakiwa  kuzingatia zaidi usalama wa simu ambayo unalenga kuilinda ili isichubuke, isipasuke  au isiingie vumbi.          [...]
Njia 6 za kumpata mwanamke tajiri

Njia 6 za kumpata mwanamke tajiri

Wanaume wengi wamekuwa waoga kumtongoza msichana ambaye amemzidi kipato au wengi huwaita wakishua na hii inawasababishia kushindwa kuwa na mtu sahihi [...]
1 9 10 11 12 13 37 110 / 361 POSTS
error: Content is protected !!