Category: Kitaifa

1 133 134 135 136 137 183 1350 / 1830 POSTS
Mabadiliko Jeshi la Polisi

Mabadiliko Jeshi la Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa. [...]
Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Ilizoeleka kwamba miradi inayotokea kwenye maeneo mbalimbali nchini tenda ilikuwa ikipewa kwa mafundi na wakandarasi kutoka nje lakini hali imekuwa to [...]
Alawiti na kubaka kisa chumvi

Alawiti na kubaka kisa chumvi

Jeshi la polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto watatu wa darasa [...]
Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Maombi ya mwanahabari Saed Kubenea ya kumfungulia mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda k [...]
Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali imefuta gharama za uchunguzi kwa wagonjwa wote wenye dalili za kifua kikuu waweze kupata huduma hiyo kwa [...]
Mrema apata jiko kwa milioni 4.2

Mrema apata jiko kwa milioni 4.2

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema leo Machi 24, 2022 amefunga pingu za maisha na mkewe Doreen Kimbi katika Parokia ya Uwombon [...]
Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Daraja la Tanzanite kubadilishwa

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua daraja la jipya la Selander maarufu kama Tanzanite la jijini Dar es Salaam huku akipendekeza alama ya mwenge iliyow [...]
Mafinga wafurahia madarasa ya Samia

Mafinga wafurahia madarasa ya Samia

Shule ya Sekondari Ihanga jijini Mbeya ni kati za shule zilipewa fedha na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kujengwa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na e [...]
Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Ghorofa la Samia larejesha wanafunzi shuleni

Shule ya Sekondari Ihanga jijini Mbeya ni kati za shule zilipewa fedha na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na kujengwa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na e [...]
Umy Mwalimu: Hakuna kirusi kipya

Umy Mwalimu: Hakuna kirusi kipya

  Kufuatia kusambaa kwa kasi kwa kirusi kipya cha UVIKO-19 ( Omicron BA.2) duniani, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kirusi hicho hakijafi [...]
1 133 134 135 136 137 183 1350 / 1830 POSTS
error: Content is protected !!