Category: Kitaifa

1 146 147 148 149 150 197 1480 / 1964 POSTS
Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma kutoka Wizara ya Afya kuhusu magonjwa ya milipuko na matukio yanayoathiri afya ya binadamu hapa nchini. [...]
Mwenge wa Uhuru kuondoka na vigogo

Mwenge wa Uhuru kuondoka na vigogo

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye ulemavu , Patrobas Katambi amesema mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu zinatarajiwa [...]
100 wakabidhiwa nyumba Magomeni Kota

100 wakabidhiwa nyumba Magomeni Kota

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Kamati ya Wakazi wa Magomeni Kota, wameanza kukabidhi nyumba kwa watu 100 kati ya 644 wanaopaswa [...]
EAC yaongeza mwanachama mpya

EAC yaongeza mwanachama mpya

Kikao cha Wakuu wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameiingiza Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kuwa mwanachama wa jumuiya hi [...]
Mabadiliko Jeshi la Polisi

Mabadiliko Jeshi la Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amefanya uhamisho na mabadiliko kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa. [...]
Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Neema kwa mafundi uwashi Mtwara

Ilizoeleka kwamba miradi inayotokea kwenye maeneo mbalimbali nchini tenda ilikuwa ikipewa kwa mafundi na wakandarasi kutoka nje lakini hali imekuwa to [...]
Alawiti na kubaka kisa chumvi

Alawiti na kubaka kisa chumvi

Jeshi la polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto watatu wa darasa [...]
Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Kubenea apigwa spana kesi ya Makonda

Maombi ya mwanahabari Saed Kubenea ya kumfungulia mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda k [...]
Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Uchunguzi na matibabu ya TB ni bure

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali imefuta gharama za uchunguzi kwa wagonjwa wote wenye dalili za kifua kikuu waweze kupata huduma hiyo kwa [...]
Mrema apata jiko kwa milioni 4.2

Mrema apata jiko kwa milioni 4.2

Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema leo Machi 24, 2022 amefunga pingu za maisha na mkewe Doreen Kimbi katika Parokia ya Uwombon [...]
1 146 147 148 149 150 197 1480 / 1964 POSTS
error: Content is protected !!