Category: Kitaifa
Changamoto mwendokasi basi
Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umesema mwaka huu utaongeza mabasi mengine mapya 95 ikiwa ni sehemu ya hatua za kupunguza msongamano wa abiria [...]
Waiba jeneza msikitini
Watu wasiojulikana katika kijiji cha Rivango, kata ya Mchauru, wilayani Masasi mkoani Mtwara, wamevunja mlango wa msikiti na kuiba jeneza linalotumika [...]

Rais Samia na fursa za uchumi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali inajipanga kukabiliana na changamoto za kiuchumi zinazosababishwa na jang [...]
Zungu amuahidi Samia urais 2025
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais Samia Suluhu kutokuwa na wasiwasi kuhusu uchaguzi Mkuu ujao wa [...]
Sabaya atemwa
Wakili aliyekuwa akisimamia na kumtetea aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (35) na wenzake 6 amejitoa katika k [...]
Dakika 34 zamponza Davido
Mwanamuziki maarufu kutokea nchini Nigeria, Davido amelipishwa faini ya Euro 340,000 ambayo inakadiriwa kwa pesa za kitanzania ni zaidi ya Bilioni 1 n [...]
Samia atimiza ahadi yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya jitihada ya kuweka mazingira rafiki ya kufundishia na kujif [...]
Wanaume Geita walilia wake zao
Wanaume mkoani Geita wanaodai kutendewa vitendo vya ukatili na wake zao ikiwamo kupigwa na kunyimwa unyumba wamejitokeza kwa wingi katika dawati la ji [...]
Vijana 853 waliofukuzwa waruhusiwa kurudi kwenye Makambi ya JKT
Vijana 854 kati ya 24000 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa na kusimamishwa mafunzo mwaka 2021 kwa kosa la vitendo vya uhasi wamesamehewa na [...]
Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa Shirika la Reli nchini (TRC) kuhakikisha ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ki [...]