Category: Kitaifa

1 152 153 154 155 156 183 1540 / 1828 POSTS
Vivutio vinne (4) vya utalii visivyokuwa na kiingilio Dar

Vivutio vinne (4) vya utalii visivyokuwa na kiingilio Dar

Maana ya utalii ni kutoka na kutembelea sehemu fulani aidha kwa kujifunza au kustarehe tu. Kila mtu ana aina ya vivutio anavyopenda kutembela, wapo wa [...]
Nandy ndani ya Grammy 2022

Nandy ndani ya Grammy 2022

Huenda ikawa ni mwanzo za kufunguka kwa njia na safari nzuri kwa msanii Nandy kuelekea katika Tuzo za Grammy [...]
Ndugu wamnyonga shangazi yao

Ndugu wamnyonga shangazi yao

Jeshi la polisi Mkoani Mwanza linawashikilia ndugu wawili kwa tuhuma za kumuua shangazi yao Ndimanya Kahindi kwa kumyonga, Ndimanya alikua mkazi wa ki [...]
TAZARA yalaani maiti kutupwa relini

TAZARA yalaani maiti kutupwa relini

Mamlaka ya reli Tanzania na Zambia (TAZARA) imeelezea kushtuka kutokana na kuwepo kwa matukio ya mara kwa mara ya maiti za watu waliouwawa na watu was [...]
Rais Samia aeleza ukuaji sekta ya fedha

Rais Samia aeleza ukuaji sekta ya fedha

Katika mkutano wa 20 wa taasisi za fedha ulioandaliwa na Benki kuu ya Tanzania (BOT), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu ambaye [...]
Dawa ya usafirishaji binadamu yapatikana

Dawa ya usafirishaji binadamu yapatikana

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu sera, Bunge, Ajira , kazi, vijana na watu wenye ulemavu Jenista Mhagama amesema katika kukabiliana na biashara har [...]
Hali ya maji tumuachie Mungu

Hali ya maji tumuachie Mungu

Mkuu wa mkoa Dar es Salaam , Amos Makalla amekiri kwamba hali bado si shwari na kilichopo ni kuomba kudra za Mwenyezi Mungu baada ya kutembelea mto Ru [...]
Wasichana waliopata ujauzito kuruhusiwa kurudi shuleni

Wasichana waliopata ujauzito kuruhusiwa kurudi shuleni

Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako amesema kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, Serikali imeamua kuondoa vikwazo vilivyopo katika elimu husu [...]
Serikali yatamba kushamiri kwa Demokrasia nchini ndani ya miaka 60 ya Uhuru

Serikali yatamba kushamiri kwa Demokrasia nchini ndani ya miaka 60 ya Uhuru

Katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, kumekuwa na maendeleo ya demokrasia ya vyama vingi nchini sambamba na udumishwaji wa amani, utulivu, uzalendo na [...]
Rais Samia atoa maagizo jinsi yakupunguza ajali za barabarani

Rais Samia atoa maagizo jinsi yakupunguza ajali za barabarani

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua wiki ya nenda kwa usalama barabarani huku akiagiza elimu ya matumizi sahihi ya barabara ielekezwe zaidi kwa maderev [...]
1 152 153 154 155 156 183 1540 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!