Category: Kitaifa

1 165 166 167 168 169 202 1670 / 2020 POSTS
Mrithi wa panya Magawa apatikana

Mrithi wa panya Magawa apatikana

Baada ya kifo cha panya Magawa hatimaye mrithi wake amepatikana anafahamika kwa jina la Renin ambapo taarifa zinasema tayari yupo nchini Cambodia kuen [...]
Donge nono kwa atakayefichua wezi wa mita

Donge nono kwa atakayefichua wezi wa mita

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), imetangaza donge nono la Sh 500,000 kwa mtu atakayefichua wezi na waharibifu wa mita za ma [...]
Mwanafunzi afariki baada ya kujirusha ghorofani

Mwanafunzi afariki baada ya kujirusha ghorofani

Manawa Horera mwanafunzi wa mwaka wa pili wa kitivo cha Shahada ya Uhasibu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amefariki baada ya kuanguka kut [...]
Mfahamu John Okello aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar

Mfahamu John Okello aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar

John Gideon Okello ni raia wa Uganda aliyeshiriki katika Mapinduzi yaliyoitoa Zanzibar kutoka kwenye minyororo ya utawala wa Waarabu. Alizaliwa  mw [...]
Mapinduzi Zanzibari: Tishio la Mabeberu, Usaliti, Kivuli cha Uzalendo na Tafsiri ya Muungano

Mapinduzi Zanzibari: Tishio la Mabeberu, Usaliti, Kivuli cha Uzalendo na Tafsiri ya Muungano

MAPINDUZI YA ZANZIBAR: TISHIO LA MABEBERU, USALITI, KIVULI CHA UZALENDO UBARAKALA NA TAFSIRI TATA YA MUUNGANO Ijapokuwa wanachama wa Chama cha Umma [...]
‘Wagonga wanafunzi’ wafungiwa kamera

‘Wagonga wanafunzi’ wafungiwa kamera

Baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi kugongwa na magari na kupoteza maisha katika Barabara kuu ya Dodoma - Dar es Salaam, Halmashauri ya Chamw [...]
Pepsi na Coca Cola zaadimika mtaani

Pepsi na Coca Cola zaadimika mtaani

Baadhi ya wafanyabiashara jiji Dar es Salaam wamesema kwamba soda zinazotengenezwa na kampuni za  Pepsi na Coca Cola zimeadimika kwa muda sasa tangu D [...]
Mwenyekiti CCM Shinyanga ataka bango la Ndugai ling’olewe

Mwenyekiti CCM Shinyanga ataka bango la Ndugai ling’olewe

Mwenyekiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja amesema kwamba kitendo kilichofanywa na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Job Nd [...]
NIDA yawasihi wananchi kufuata vitambulisho vyao

NIDA yawasihi wananchi kufuata vitambulisho vyao

Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imewataka wale wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao kwenda kwenye ofisi husika na kuchukua kwani [...]
Ajinyonga kwa kamba za viatu

Ajinyonga kwa kamba za viatu

Mwanaume mmoja mkazi wa Mtaa wa Rungwa kata ya Kazima Manispaa ya Mpanda, Edmond Sungura (53) amekutwa amejinyonga hadi kufa chumbani kwake kwa kutumi [...]
1 165 166 167 168 169 202 1670 / 2020 POSTS
error: Content is protected !!