Category: Kitaifa

1 165 166 167 168 169 186 1670 / 1851 POSTS
Ushirikiano Tanzania na Burundi sekta Kilimo wazidi kuimarika

Ushirikiano Tanzania na Burundi sekta Kilimo wazidi kuimarika

Serikali ya Tanzania imeendelea na juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo Burundi ambapo pamoja na mambo mengine imekusudia kuim [...]
Upinzani wamkubali Rais Samia

Upinzani wamkubali Rais Samia

Doyo Hassani Doyo ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance Democratic Change Tifa (CDC), amesema Rais Samia Suluhu ni kiongozi shupavu , mvumilivu [...]
Hii ndio mitaa 4 iliyotengwa kwa machinga wa Kariakoo

Hii ndio mitaa 4 iliyotengwa kwa machinga wa Kariakoo

Uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga, umetenga mitaa minne katika eneo hilo ambayo itatumika maalum kwa ajili ya shughuli za wajasi [...]
Wasifu wa Jaji Kiongozi, Mustapha Siyani aliyejitoa leo kesi ya Mbowe

Wasifu wa Jaji Kiongozi, Mustapha Siyani aliyejitoa leo kesi ya Mbowe

Jaji Kiongozi Mustapha Siyani leo amekuwa jaji wa pili kujitoa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenz [...]
Mbivu na mbichi kesi ya kina Mbowe kujulikana leo

Mbivu na mbichi kesi ya kina Mbowe kujulikana leo

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Oktoba 20, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi in [...]
Majina ya vijana waliopata ajira Jeshi la Polisi Tanzania

Majina ya vijana waliopata ajira Jeshi la Polisi Tanzania

Hivi karibuni Jeshi la Polisi Tanzania lilitangaza nafasi za ajira na baada ya usaili, limetoa majina ya wale wote waliopata nafasi. Hapa chini ni oro [...]
Vurugu za Machinga Kariakoo, Mkuu wa Mkoa DSM atoa neno

Vurugu za Machinga Kariakoo, Mkuu wa Mkoa DSM atoa neno

Video mbalimbali zimekuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii zikionesha vurugu katika eneo la Kariakoo kati ya Jeshi la Polisi na wafanyabiashara w [...]
Wasira awashangaa wanaodai Katiba mpya sasa

Wasira awashangaa wanaodai Katiba mpya sasa

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Bunda, mkoani Mara na Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira akizungumza kwenye kipindi cha medani za siasa kinachorus [...]
Madhara ya kutumia simu bila kunawa mikono

Madhara ya kutumia simu bila kunawa mikono

Mfamasia Erick Venant amesema simu za mkononi zimetajwa kuwa ni hatari katika kusambaza na kuhifadhi vijidudu vya magonjwa ya kuambukiza kama zitashik [...]
Watayarishaji wa muziki nchini waomba wasanii kuimba nyimbo za kimataifa

Watayarishaji wa muziki nchini waomba wasanii kuimba nyimbo za kimataifa

Baada ya tangazo kuhusu ushirikiano wa chati za muziki za ‘Billboard’ na application ya ‘Boomplay’, watayarishaji wa muziki nchini wamewasihi wasanii [...]
1 165 166 167 168 169 186 1670 / 1851 POSTS
error: Content is protected !!