Category: Kitaifa
Lukuvi kutafuta suluhu na madalali
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi anatarajia kukutana na madalali wa nyumba na viwanja jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka huu baada [...]
Umeme kitendawili, Makamba ashuhudia uhafifu wa maji Ruaha
Waziri wa Nishati Mhe January Makamba ameanza ziara katika mito inayoingiza maji katika mabwawa ya vituo vyote vya kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu y [...]
Kigoma: Shaka afichua wahusika upotevu wa bilioni 2
Katibu wa itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamidu Shaka, amewataja wanaohusika na upotevu wa zaidi ya Sh. Bilioni 2 kila mwezi ka [...]
TAKUKURU yashikwa pabaya wizi wa madini Mererani
Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Mohammed Mchengerwa, ametoa wiki mbili kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa T [...]
Fahamu kurasa zenye wafuasi wengi zaidi Twitter Tanzania
Januari 2021 kulikuwa na Watanzania 5.40 milioni wanaotumia mitandao ya kijamii. Watumiaji wa mitandao Tanzania wameongezeka+20% 2020 - 2021, sawa na [...]
Batu tale akemea ‘machawa’
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Hamisi Shaban Taletale maarufu Babu Tale ambaye pia ni meneja wa msanii Diamond Platnumz kutoka lebo ya Wasafi ame [...]
Zijue Faida na hasara msanii kuwa chini ya ‘Record label’
Je, kipi ni bora, kuwa chini ya Record Label au kuwa msanii unayejitegemea kwa kila kitu? Leo utajifunza faida za hasara za kuwa msanii wa muziki chin [...]
Aweso atinga DAWASA usiku, ataka hadi kieleweke
Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso atinga katika ofisi za DAWASA usiku wa kuamkia Novemba 18, 2021, Waziri alizuru katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam i [...]

Kauli ya Rais Samia kuhusu mgao wa maji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa tatizo la maji katika miji mikubwa kama Dar es Salaam litaenda ku [...]
Mwanafunzi ajeruhiwa kisa Mahusiano
Mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Mbogi, Wilayani Tarime amejeruhiwa vibaya kwa kisu na kuachwa na majeraha makubwa.
[...]