Category: Kitaifa

1 180 181 182 183 184 195 1820 / 1943 POSTS
Membe amuomba kazi Rais Samia

Membe amuomba kazi Rais Samia

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na mgombea Urais wa Tanzania, kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo mwaka 2020 Bernard Membe amesema ameridhishw [...]
Kauli ya Rais Samia kuhusu tozo

Kauli ya Rais Samia kuhusu tozo

Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza kupunguzwa kwa tozo zinazotozwa na taasisi mbalimbali katika bidhaa za mafuta  hapa nchini zenye thamani ya shilin [...]
Mjue Mtanzania aliyehusika kufichua Skendo ya Pandora

Mjue Mtanzania aliyehusika kufichua Skendo ya Pandora

Pandora ni skendo inayohusisha watu mashuhuri duniani na mtandao mkubwa wa shughuli haramu katika masuala ya fedha na uwekezaji. Skendo hii inahusisha [...]
Mfumo mpya wa maegesho Dar, fahamu jinsi ya kulipia, faida na changamoto zake

Mfumo mpya wa maegesho Dar, fahamu jinsi ya kulipia, faida na changamoto zake

Mkoa wa Dar es Salaam umeanzisha mfumo wa kutoza ushuru wa maegesho kwa njia ya kieletroniki. Mfumo uliokuwa unatumika awali wa risiti za karatasi amb [...]
Serikali: Wafanyabiashara wadogo watengewe maeneo yanayofikika

Serikali: Wafanyabiashara wadogo watengewe maeneo yanayofikika

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa kuzisimamia Halmashauri nchini ili kuhakikisha zinaandaa maeneo mazuri yanayofikika [...]
Boss Shell, apongeza maboresho mazingira ya uwekezaji Tanzania

Boss Shell, apongeza maboresho mazingira ya uwekezaji Tanzania

'Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza kwa njia ya mtandao na Ben Van Beurden, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Royal Dutch Shell yenye makao yake mak [...]
Soma hapa ufafanuzi wa TANESCO kukosekana huduma ya LUKU

Soma hapa ufafanuzi wa TANESCO kukosekana huduma ya LUKU

Hitilafu imetokea kwenye mfumo wa ununuzi wa umeme wa LUKU wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), hivyo kusababisha wateja kushindwa kupata huduma hi [...]
Maagizo ya Serikali kwa mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania

Maagizo ya Serikali kwa mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza mabalozi wa Tanzania nje ya nchi waimarishe biashara na nchi wanapokwenda kwani wana jukumu la kukuza uchumi wa [...]
Majaliwa amwakilisha Rais kwenye mazishi ya Ole Nasha

Majaliwa amwakilisha Rais kwenye mazishi ya Ole Nasha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemwakilisha Rais Samia Suluhu katika mazishi ya aliyekuwa Mbunge Ngorongoro na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu [...]
Taarifa ya serikali kuhusu kamati inayochunguza kupanda bei za mafuta

Taarifa ya serikali kuhusu kamati inayochunguza kupanda bei za mafuta

Kamati iliyoundwa kuchunguza kupanda kwa bei ya mafuta (petroli, dizeli na mafuta ya taa) imewasilisha ripoti yake kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. [...]
1 180 181 182 183 184 195 1820 / 1943 POSTS
error: Content is protected !!