Category: Michezo

1 12 13 14 15 16 140 / 151 POSTS
Tetesi za Soka Barani Ulaya leo Septemba 20, 2021: Tchouameni, Kingsley, Pogba, Olmo, Lingard, Bailly, Koeman

Tetesi za Soka Barani Ulaya leo Septemba 20, 2021: Tchouameni, Kingsley, Pogba, Olmo, Lingard, Bailly, Koeman

Chelsea itakabiliana ana kwa ana na Juventus kupata saini ya kiungo wa chini ya umri wa miaka 21 wa Ufaransa na Monaco Aurelien Tchouameni, ifikapo di [...]
Tetesi za soka Barani Ulaya Ijumaa 17.09.2021: Benitez, Arteta, Ginter, Rudiger, Pogba, Werner

Tetesi za soka Barani Ulaya Ijumaa 17.09.2021: Benitez, Arteta, Ginter, Rudiger, Pogba, Werner

Kocha wa Everton Rafael Benitez amepatia kipaumbele kumsajili beki wa kati katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari. (Football Insider) Kocha wa [...]
Simulizi ya maisha ya Zacharia Hans Poppe (kufungwa gerezani hadi kiongozi wa Simba)

Simulizi ya maisha ya Zacharia Hans Poppe (kufungwa gerezani hadi kiongozi wa Simba)

  Zacharia Hanspope amelazwa kwenye nyumba yake ya milele kijijini kwao Kihesa Iringa, ambapo baba yake mzazi pia alizikwa miaka 42 iliyopita. [...]
Tanzania yapanda nafasi 3 viwango vya FIFA

Tanzania yapanda nafasi 3 viwango vya FIFA

Tanzania imepanda kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kwa mwezi Septemba Kwa mujibu wa [...]
Tetesi za soka Ulaya Septemba 16 (Lewandowski, Fernandes, Rudiger, Kounde, Wilshere)

Tetesi za soka Ulaya Septemba 16 (Lewandowski, Fernandes, Rudiger, Kounde, Wilshere)

Liverpool imejitokeza kama mojawapo ya klabu ambazo zinamnyatia mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski, 33 anatarajiwa kuondoka Ba [...]
Tetesi za soka ulaya.

Tetesi za soka ulaya.

POGBA KUONGEZA MKATABA KIUNGO wa kati wa Ufaransa, Paul Pogba mwenye umri wa miaka 28, ambaye amehusishwa na uhamisho wa kujiunga na PSG na Real Madr [...]
Biashara United kibaruani leo nchini Djibouti

Biashara United kibaruani leo nchini Djibouti

Timu ya Biashara United leo itashuka dimbani kuvaana na Dikhil FC ya Dijibouti, katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, mchezo utakaochezwa [...]
Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel aeleza anapokosea Arteta

Kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel aeleza anapokosea Arteta

'Kila uwezo unapoongezeka, ndio majukumu huwa makubwa zaidi,' ndicho hasa kinachomsibu Arteta Arsenal. Ikumbumkwe kuwa Arteta ametoka kuwa mwalimu msa [...]
Manara; Nilisema uongo, niko tayari kwenda gerezani

Manara; Nilisema uongo, niko tayari kwenda gerezani

Msemaji wa timu ya soka ya Yanga, Haji Sunday Manara amesema yeye hakuwahi kuwa (shabiki) wa Simba. Amesema amekuwa Yanga katika maisha yake yote. [...]
Yanga kuwakosa nyota wake watatu kwenye michuano ya kimataifa

Yanga kuwakosa nyota wake watatu kwenye michuano ya kimataifa

  Klabu ya Yanga imethibitisha kwamba itawakosa nyota wake watatu kwenye mchezo wake wa kwanza wa Klabu Bingwa dhidi ya Rivers United kutoka n [...]
1 12 13 14 15 16 140 / 151 POSTS
error: Content is protected !!