Tag: habari kubwa za michezo

1 103 104 105 106 107 123 1050 / 1222 POSTS
Steve : Natoa masaa 48

Steve : Natoa masaa 48

Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT), Steve Nyerere ametoa masaa 48 kwa Mbunge wa Muheza, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA na wasanii w [...]
Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto mwenye umri wa miaka 14 (Jina linahifadhiwa) mkazi wa Manispaa ya Iringa, anashikiliwa na Polisi kwa madai ya kuwalawiti watoto wenzake 19 kwa n [...]
Kucheka kiingereza cha Mondi ni kuivua nguo Tanzania

Kucheka kiingereza cha Mondi ni kuivua nguo Tanzania

Diamond kushindwa kuseme umri wake kwa kiingereza ni kosa? Msanii mkubwa na mmiliki wa lebo ya WCB, Diamond Platnumz siku za hivi karibuni amezungu [...]
Mwijaku atangaza nia

Mwijaku atangaza nia

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena Clouds Radio, Mwijaku ametangaza nia ya kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania wadhifa aliopewa Steve Nyerer [...]
Steve Nyerere kuvuliwa

Steve Nyerere kuvuliwa

Mbunge wa Muhenza ambaye pia ni msanii, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amewapa masaa 48 viongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania kuleta jina l [...]
Pastor Myamba apata ajali

Pastor Myamba apata ajali

Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba ametoa taarifa ya kupatwa na ajali mbaya yeye pamoja na familia yake wakati wakielekea kwenye ibada. Ame [...]
BASATA: hawakuomba kushiriki

BASATA: hawakuomba kushiriki

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa ufafanuzi wa kwanini wasanii kutoka lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Diamond Platumz kutoonekana kwenye kipen [...]
Zimwi la Mto Yala lazidi kuua, laondoka na kigogo

Zimwi la Mto Yala lazidi kuua, laondoka na kigogo

Mwili wa Mkaguzi Mkuu wa Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) wakutwa kati ya vifurushi vilivyookolewa Mto Yala. Wananchi wa Kenya wazidi kuililia [...]
Romy Jons aomba msamaha

Romy Jons aomba msamaha

Dj na kaka wa msanii Diamond Platnumz, Romy Jons amewaomba radhi mashabiki zake, marafiki , mashabiki , mke wake na Watanzania kwa ujumla kwa yale yan [...]
Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Chato mkoani Geita kwamba miradi iliyopangwa itakamilishwa ikiwemo kivyuko cha Chato cha ‘Hapa Kazi Tu [...]
1 103 104 105 106 107 123 1050 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!