Tag: habari kubwa za michezo

1 10 11 12 13 14 123 120 / 1222 POSTS
Neema kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023

Neema kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023

Serikali imesema imefungua wigo kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kubadili machaguo ya tahsusi ‘combinations’ ya kidato cha tano, kozi za vyuo [...]
Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu

Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wakuu wa mikoa nchini kutatua changamoto za wananchi, ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na kuongeza ukusanyaji wa ma [...]
“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka familia ya hayati Ali Hassan Mwinyi kuendelea kuheshimiana na kushikamana na kwamba hawatafurahi kuona familia hiyo [...]
Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu

Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu

Rais wa Timu ya mpira wa miguu ya Yanga SC , Eng. Hersi Said amesema mafanikio katika sekta ya michezo hasa mpira wa kiguu nchini yametokana na mchang [...]
Waliomuua AKA wakamatwa

Waliomuua AKA wakamatwa

Polisi wa South Africa wamethibitisha kuwakamata Washukiwa sita wa mauaji ya Rapper Kiernan Forbes maarufu AKA na kusema miongoni mwao ni ‘Mastermind’ [...]
Mpango: Tanzania inakopesheka

Mpango: Tanzania inakopesheka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amesema taasisi na mashirika makubwa duniani yameitaja Tanzania kama [...]
Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Mapato yanayotokana na utalii yamezidi kuongezeka kutoka Dola za Kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2021 hadi kuvunja rekodi na kufikia Dola za Kimarekani b [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa kitanzania wanaofahamika kwa jina maarufu la Ramadhan Brothers kwa kushinda shindano la ‘America Got T [...]
Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican

Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican

Rais Samia Suluhu Hassan ameambata na viongozi watano wa vyama vya kitume vya Kanisa Katoliki Tanzania kwenda kumwona Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, [...]
Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa

Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa

Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kilichotokea leo tarehe 10 Februar [...]
1 10 11 12 13 14 123 120 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!