Tag: habari za kimataifa
Watumishi na viongozi wa Serikali washiriki kulima bangi Kilosa
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Alhaji Majid Mwanga amewataja baadhi ya viongozi, watumishi wa umma wa vijiji, vitongoji na kata zinazozunguka msitu wa Mkwi [...]
Leo katika Historia: Majeshi ya Uingereza na Ujerumani yanapigana huko Misri
Siku kama ya leo mwaka 1942, vita vya kihistoria vilivyopewa jina la El-Alamein vilitokea katika mji wenye jina kama hilo huko Kaskazini mwa Misri kat [...]
Binti wa Mayweather hatarini kufungwa miaka 20 kwa kugombea penzi
Aprili 2, 2020 Yaya Mayweather alikwenda nyumbani kwa mpenzi wake, rapa NBA YoungBoy na kumkuta aliyewahi kuwa mpenzi wa mchumba wake huyo, Lapattra L [...]
Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua dereva bodaboda
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Kanda ya Mbeya imemhukumu Emmanuel Msomba kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mauaji ya dere [...]
Magazeti ya leo Ijumaa, Oktoba 22, 2021
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za Magazeti ya Tanzania leo Ijumaa, Oktoba 22, 2021.
[...]
Tamko la familia ya Mtanzania aliyeuawa Marekani
Familia ya kijana Mtanzania Humphrey Magwira (20) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na Ramon Vasquez (19) nchini Marekani imesema kwamba kijana wao hakusta [...]
Mambo 5 muhimu ya kufanya utokapo kwenye kazi hatarishi
Mazingira hatarishi au ambayo si salama kwa mfanyakazi yanapunguza morali ya ufanyaji kazi lakini pia yanamfanya mhusika akose kujiamini. Mazingira ya [...]
Faida 5 za kutoa Ushuzi
Watu wengi wamekua waoga sana kutoa ushuzi wakidhani kwamba wanakosea hivyo wanaamua kubana hewa hiyo chafu ndani yao bila kujua kwamba kiafya ni vyem [...]
Jinsi ya kupata madini ya Almasi kutoka kwenye maiti
Barani Afrika na maeneo mengine duniani utamaduni wa kuzika mtu anapofariki ni utamaduni wa miaka mingi na ndio utamaduni watu waliuzoea. Lakini kasi [...]
Wasira awashangaa wanaodai Katiba mpya sasa
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Bunda, mkoani Mara na Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira akizungumza kwenye kipindi cha medani za siasa kinachorus [...]

