Tag: habari za kimataifa
Vituo 10 vya Afya Dar vimejengwa kwa fedha za tozo ya miamala ya simu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa kwenye sekta ya Afya hususani Ujenzi wa Vit [...]
Tanzania kumpa ushirikiano Ruto
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema ataendelea kufanya kazi na Rais mteule wa Kenya, Dk. William Ruto, kudumisha uhusiano wa kihistoria na undugu baina [...]
Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Venezuela zimesaini Hati za Makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kisiasa na mkataba wa ushirikiano katika nyanja m [...]
Ufafanuzi wa laki 8 ya kuunganisha umeme
Wizara ya Nishati imesema gharama halisi ya kuunganisha huduma ya umeme katika nyumba kwa wakazi wa mijini na vijijini ni Sh800,000.
Hata hivyo, kias [...]
Orodha ya vituo vya afya 234 vilivyojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu Tsh. Bilioni 117
Ofisi ya Rais TAMISEMI imetoa orodha ya vituo vya afya 234 vilivyojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu Shilingi bilioni 117.
[...]
Mpango kumuwakilisha Rais Samia Rwanda
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 05 Septemba 2022 amewasili Kigali nchini Rwanda ambap [...]
Maendeleo ujenzi Daraja la JPM yamridhisha Kinana
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Magufuli lililopo maeneo ya Kigongo Busisi mkoani Mwanza
Daraja hilo l [...]
Mahakama yabariki ushindi wa Ruto
Mahakama ya Juu ya Kenya leo imepitisha kwa kauli moja kuchaguliwa kwa Rais mteule William Ruto katika kura ya urais ya mwezi uliopita baada ya kutupi [...]
Walioolewa na wenye watoto ruksa kushiriki Miss Universe
Huenda mashindano ya ulimbwende yanayofanyika katika maeneo mbalimbali duniani yakachua sura mpya na kufungua fursa zaidi kwa wanawake kufaidika na ta [...]
Mikakati ya kuinusuru NHIF
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itachukua hatua mbalimbali ikiwemo kutibu mapema magonjwa yasiyoambukiza ili kuunusuru Mfuko wa Taifa wa [...]

