Author: Cynthia Chacha
Mwanafunzi abakwa, atobolewa macho na Kuuwawa
Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Maendeleo Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, Zinati Alifa mkazi wa mtaa wa Mchema mwenye umri wa mia [...]
Mwanamke aliyemshtaki daktari wa mama yake kwa kuzaliwa ashinda kesi
Mwanamke ambaye alimshtaki daktari wa mama yake akidai kwamba hakupaswa kuzaliwa ameshinda kesi na kutakiwa kulipwa mamilioni ya fidia. Evie Toombes, [...]
Magazeti ya leo Desemba 2, 2021
Habari Za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za Magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Desemba 2, 2021. [...]
Tazama video zinazo-trend Youtube leo Desemba 1, 2021
Hizi hapa video zinazopeta katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Desemba 1, 2021. Husikubali kupitwa;
https://www.youtube.com/watch?v=3GHmlVDSRPA& [...]
Ugonjwa wa wanawake kuota nywele kifuani na usoni
Baadhi ya wanawake wamekua na nywele maeneo ya kifua na usoni. Kitaalamu hii hali huitwa “Hirsutism” ambapo madaktari hufanya uchunguzi juu ya tatizo [...]
Aliyejioa ajipa talaka baada ya siku 90 ya ndoa yake
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Cris Galera mwenye umri wa miaka 33 alishika vichwa vya habari baada yakujioa miezi mitatau iliyopita, lakini [...]
Wanaume wa Kenya hawapendi kutumia kondomu
Mamilioni ya kondomu zinazotolewa bila malipo zinaweza kupotea kwani Wakenya hawazitumii. Hayo yamebainika wakati wa hafla ya Baraza la Kitaifa la Kud [...]
Jux azindua Rasmi duka la African Boy
Nyota wa Bongo Fleva na mfanyabiashara Juma Mussa Mkambala maarufu kama Jux, ametimiza ndoto yake ya muda mrefu kwa kufungua rasmi duka lake la nguo z [...]
Magazeti ya leo Disemba 1, 2021
Habari Za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 1, 2021. [...]