Category: Kimataifa
Miaka 90 ya Desmundu Tutu na kumbukizi ya Sera ya Kibaguzi Afrika Kusini
Askofu Desmond Mpilo Tutu alizaliwa Oktoba, 7 1931 katika mji wa Klerksdorp Afrika Kusini. Wazazi wake walitoka makabila ya Xhosa na Tswana na akiwa m [...]
Kikongwe wa miaka 100 mahakamani kwa makosa wakati wa vita ya pili ya Dunia
Kikongwe mwenye umri wa miaka 100 ambaye alilitumikia Jeshi la Ujerumani (SS guard) wakati wa vita ya pili ya Dunia, kesi yake itaanza kusikilizwa leo [...]
Ukiwapata watu hawa 6, unakuwa bilionea
Muda huu kuna watu wanatafutwa, ukiwakamata au kutoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwao, unaweza kuwa bilionea kutokana ahadi zilizotolewa na Serik [...]
Historia: Mtanzania ashinda Tuzo ya Nobel
Tuzo za Nobel katika Fasihi (Nobel Prize in Literature) imetolewa leo na kushuhudia Mtanzania Abdulrazak Gurnah, akishinda tuzo hiyo.
Abdulrazak Gu [...]
Baada ya miaka 10, chanjo ya kwanza ya Malaria yathibitishwa
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vilemea aina nne: P falciparum, P Malarie, P. Ovale na P. vivax. Vimelea hivyo hubebwa na kusambazwa na mbu jike [...]
Mgogoro wa China – Taiwan wafikia pabaya
Waziri wa Ulinzi wa Taiwan Chiu Kuo-Cheng amesema kuwa hivi sasa mgogoro wa China na Taiwan umefikia hatua mbaya zaidi kuliko wakati wowote katika kip [...]
Youtube yafunga akaunti zote za R. Kelly
Akanti za Youtube za msanii gwiji wa muziki wa miondoko ya RnB, R. Kelly zimefungwa mapema wiki hii, ikiwa ni tukio la kwanza kubwa kumfika tangu alip [...]
Zijue sababu 5 za kupanda kwa bei za mafuta duniani
Bei za mafuta duniani zimepanda hali ambayo imethiri pia bei za mafuta ha Tanzania. Tumekuwekea sababu 5 zinazoweza kupelekea kupanda kwa bei hizo dun [...]
Mjue Mtanzania aliyehusika kufichua Skendo ya Pandora
Pandora ni skendo inayohusisha watu mashuhuri duniani na mtandao mkubwa wa shughuli haramu katika masuala ya fedha na uwekezaji. Skendo hii inahusisha [...]
Fahamu kwanini Facebook, Instagram na Whatsapp zilitoweka hewani
Facebook, Instagram na Whatsapp zimerudi tena hewani baada ya kuacha kufanya kazi kwa takribani saa 6 siku ya jana tarehe 4 Oktoba 2021.
Facebook w [...]