Category: Kimataifa
Mambo 7 ya kushangaza usiyoyajua kuhusu tendo la ndoa
Tendo la ndoa huaminika kuwa miongoni mwa mambo ya kale zaidi ulimwenguni na bila shaka, binadamu wasingeendelea kuwepo bila kuendelea kufanyika kwa t [...]
Leo katika historia: Beijing inachaguliwa kuwa Mji Mkuu wa China
Mwaka 1962: Marekani iliiuzia Israel makombora ya kivita ya kutungulia ndege. Marekani ndiyo nchi yenye nguvu kubwa kijeshi duniani na imekuwa na ushi [...]
Yafahamu Magereza 10 yenye starehe zaidi Duniani
Ukifiria gereza/jela, ni aghalabu sana kufikiria starehe na anasa ndani yake. Lakini Dunia haijawahi kuacha kutushangaza kila uchwao. Haya hapa magere [...]
Askari aliyefukuzwa kazi akiwa hajitambui (coma), azinduka baada ya miezi 9
Afisa wa jeshi la Polisi nchini Kenya ambaye alitoweka na hakujulikana alipo kwa muda wa miezi tisa, kwa sababu hakuna aliyekuwa anajua kama amelazwa [...]
Fahamu: Baba yake Wema Sepetu aliwahi kuiwakilisha Tanzania Umoja wa Mataifa (UN)
Isaac Abraham Sepetu alizaliwa Oktoba, 15 1943 nchini Tanzania (Tanganyika) mkoani Tabora. Balozi Isaac Abraham Sepetu ni moja kati ya wasomi mahiri n [...]
Marais wa Tanzania waliowahi kutoa hotuba Baraza la Umoja wa Mataifa (UN)
1. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1961 - 1985)
Mwalimu Julius Nyerere ameshiriki mara tano katika Mkutano wa Baraza la Umoja wa Mataifa lakini a [...]
Rekodi ya Rais Samia Umoja wa Mataifa
Rais Samia Hassan Suluhu leo Septemba 23, 2021 atahutubia mkutano wa 76 wa Baraza la Umoja jiijini New York, Marekani.
Historia inaonesha kuwa Tanz [...]
Benki ya Dunia kushirikiana zaidi na Tanzania
Benki ya Dunia iimesema itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukuza uchumi kupitia mabadiliko ya kidijitali kwa kushirikiana na sekt [...]
Leo katika historia: Hitler na Churchill waingia kwenye mgogoro
1. Tarehe kama ya leo mwaka 1934 kimbunga kikali kilikumba Kisiwa cha Honshu, nchini Japan na kuua zaidi ya watu 4,000. Japan inaongoza kwa kukumbwa n [...]
Sudan yazima jarabio la mapinduzi
Kumetokea jaribio la kuipindua serikali ya Sudan, lakini tayari limezimwa na jitihada za kurejesha hali ya utulivu zinaendelea.
Kituo cha Televishe [...]