Category: Kitaifa
Uokoaji waendelea Mto Mori, 7 wapatikana
Wananchi kwa kushirikiana na wataalam wa maji wanaendelea na zoezi la kutafuta miili ya watu waliozama katika Mto Mori uliokuwa ukifurika jumamosi, ma [...]
CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Benson Kigaila ameeleza mafanikio ya programu yao ya Join the chain na kusema kwamba [...]
Ndugai kuacha siasa
Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametangaza nia yake ya kuacha siasa ikiwamo kutogombea tena nafasi ya ubunge kat [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 9, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Lugha gongano shuleni ipatiwe ufumbuzi
Wabunge wa Tanzania wameeleza maeneo mbalimbali yanayohitaji maboresho kwenye sekta ya elimu nchini ikiwemo lugha itumikayo kufundishia elimu ya msing [...]
Panya Road wasimulia wanavyoiba
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limeendelea kuisimamia operesheni maalum kali na msako wa mtaa kwa mtaa dhidi ya vijana wanaojihusisha n [...]
Hali ya Corona nchini
Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini. Itakumbukwa kuwa ugonjwa huu ulitolewa taarifa kwa mara ya [...]
Bashungwa: “Nakupa miezi mitatu”
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amempa miezi mitatu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musom [...]
WAKAZI: Wakristo tuache unafki
Msanii wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania, Wakazi ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha TCRA kuifungia video ya wimbo wa 'Mtasubiri" ya Diamond na Zuc [...]
Nauli mpya kutumika rasmi
Mkurugenzi wa Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini(LATRA) Johansen Kahatano amesema kulingana na hali halisi ya upandaji wa bei za mafuta, bei mpya za nauli [...]