Category: Kitaifa

1 116 117 118 119 120 199 1180 / 1981 POSTS
Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa

Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa

MTOTO wa miaka miwili, Nkeya Thomas ameuawa kwa kukatwa shingo na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kichakani katika Kijiji cha Nyamigogwa, Kat [...]
Viongozi 10 Ngorongoro kutojulikana walipo

Viongozi 10 Ngorongoro kutojulikana walipo

Wakati Serikali ikisema uwekaji mipaka katika pori la Loliondo unaendelea vizuri, Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ameendelea kulalamika kut [...]
Milioni 100 ukimpata huyu mchina

Milioni 100 ukimpata huyu mchina

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam linamtafuta mtuhumiwa, Zheng Lingyao (42) Raia wa China, Mkazi wa Jijini Dar es Salaam Kwa tuhuma kumuua Nannan, [...]
Ushuru Daraja la Tanzanite

Ushuru Daraja la Tanzanite

Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Draja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka za Kibaha-Mlandizi - C [...]
Dereva alifariki kabla basi kupinduka

Dereva alifariki kabla basi kupinduka

Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, George Kyando amesema dereva wa basi la Kampuni ya Zuberi, Hamza Haule, alifariki kabla ya basi hilo halijaanguka [...]
Benki zinazoongoza kwa mikopo ya nyumba Tanzania

Benki zinazoongoza kwa mikopo ya nyumba Tanzania

Iwapo una ndoto ya kumiliki nyumba lakini hauna fedha,  huenda ukapata mikopo ya kujengea nyumba kutoka benki za biashara Tanzania licha ya kuwa katik [...]
Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la God Sawe anatafutwa kwa kosa la kumuua mke wake Ester juzi saa 12.30 jioni kwa kumlima na jembe kichwa kisha kukim [...]
Wamasai wamshukuru Rais Samia

Wamasai wamshukuru Rais Samia

Wakazi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro ambao wameamu kuhama kwa hiari eneo hilo na kwenda kuishi Msomera Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wamems [...]
Mkuu wa mkoa feki adakwa

Mkuu wa mkoa feki adakwa

Jeshi la polisi mkoani Mbeya linamshikilia Wallen Mwinuka Mkazi wa Makondeko Jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 20 kwa tuhuma za kujifanya Mkuu wa Mkoa [...]
Juhudi za Rais Samia kufanikisha mradi wa gesi asilia nchini

Juhudi za Rais Samia kufanikisha mradi wa gesi asilia nchini

Na George Bura, Dar es Salaam Juni 11, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alishuhudia utiaji saini wa makubali [...]
1 116 117 118 119 120 199 1180 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!