Category: Kitaifa

1 141 142 143 144 145 201 1430 / 2005 POSTS
Historia fupi ya Mwai Kibaki kwenye siasa

Historia fupi ya Mwai Kibaki kwenye siasa

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, leo Aprili 22 ametangaza msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu wa nchi hiyo, Emilio Mwai Kibaki kilichotokea leo akiw [...]
Rais Samia aridhia vijiji 75 kuachwa Arusha

Rais Samia aridhia vijiji 75 kuachwa Arusha

Waziri wa Wizara ya Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula  amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia vijiji 75 vilivyokuwa katika [...]
Nauli mpya za mabasi

Nauli mpya za mabasi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA), Gilliard Ngewe amesema mchakato wa kukusanya maoni kuhusu nauli mpya za mabasi y [...]
Maagizo ya Bashungwa zuio la bodaboda Dar

Maagizo ya Bashungwa zuio la bodaboda Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Amos Maka [...]
MBOWE: Hatutaki fedha za ruzuku

MBOWE: Hatutaki fedha za ruzuku

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake hakitachukua Sh110 milioni za ruzuku ya Serikali kwa sababu kwa kufanya hivyo wata [...]
Polisi Kagera waupiga mwingi

Polisi Kagera waupiga mwingi

Jeshi la Polisi mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na idara ya wanyama pori (TANAPA) limewakamata watuhumiwa 9 kwenye makosa mbalimbali ikiwemo kukutwa n [...]
Onyo kwa chama kipya cha Umoja Party

Onyo kwa chama kipya cha Umoja Party

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, amesema ni kosa kisheria kwa chama cha siasa kilichowasilisha maombi ya usajili wa muda kufanya kazi kabla ya kupew [...]
SIMBA SC: Tunaomba Ulinzi

SIMBA SC: Tunaomba Ulinzi

Klabu ya soka ya Simba imetoa taarifa kusikitishwa na kile wanachodai kuwa ni shutuma zilizotolewa na Kocha Msaidizi wa timu ya Orlando Pirates Mandla [...]
ACT- Wazalendo kooni mwa TAMISEMI

ACT- Wazalendo kooni mwa TAMISEMI

Ofisi ya Msemaji wa Kisekta wa Chama cha ACT- Wazalendo ikiongozwa na Bi. Kulthum J. Mchuchuli, imetoa maoni kuhusu hotuba ya bajeti ya TAMISEMI iliyo [...]
Mtanzania ‘Geay’ aweka  rekodi Boston Marathon

Mtanzania ‘Geay’ aweka rekodi Boston Marathon

Mwanariadha Gabriel Geay, anayeiwakilisha vyema Tanzania katika mashindano ya mbio kitaifa ameshika nafasi ya nne katika mbio za Boston Marathon ziliz [...]
1 141 142 143 144 145 201 1430 / 2005 POSTS
error: Content is protected !!