Category: Kitaifa

1 141 142 143 144 145 193 1430 / 1921 POSTS
Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Mtangazaji na mchora katuni maarufu nchini Tanzania, Masoud Kipanya kupitia kampuni yake ya Kaypee Motors amezindua gari ndogo ya mizigo inayotumia um [...]
Wakutwa na madawa ya kulevya gramu 70.77

Wakutwa na madawa ya kulevya gramu 70.77

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limefanikiwa kumkamata maeneo ya Osunyai, Abdi Hamis (27) mfanyabiashara, mkazi wa Ngarenaro na Ally Said (25) dereva na [...]
Njombe wamshukuru Rais Samia

Njombe wamshukuru Rais Samia

Halmashauri ya Njombe mji ni miongoni wa Halmashauri ilionufaika na fedha za mpango wa ustawi na mapambano dhidi ya UVIKO-19. Miongoni mwa shule zi [...]
Mambo yanayomtambulisha Abdulrahman Kinana

Mambo yanayomtambulisha Abdulrahman Kinana

Umaarufu wake kwenye siasa ulimfanya Abdulrahman Kinana azidi kuwa maarufu kwenye jamii na zaidi kati ya wanachama wa CCM. Leo hii Machi 31, 2022 k [...]
Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rick Ross kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro

Rapa wa Marekani William Leonard Roberts II (Rick Ross) leo Machi 31, 2022 katika mahojiano yake na Full Send Podcast ameweka bayana nia yake ya kupan [...]
Rais Samia apangua baraza la mawaziri

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Katiba na Sheria na Ofisi ya Waziri mKuu (Bunge, Sera na [...]
Bashungwa apigwa spana na Samia

Bashungwa apigwa spana na Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2020/2021 kutoka kwa Mkag [...]
Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma

Taarifa kwa umma kutoka Wizara ya Afya kuhusu magonjwa ya milipuko na matukio yanayoathiri afya ya binadamu hapa nchini. [...]
Mwenge wa Uhuru kuondoka na vigogo

Mwenge wa Uhuru kuondoka na vigogo

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye ulemavu , Patrobas Katambi amesema mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu zinatarajiwa [...]
100 wakabidhiwa nyumba Magomeni Kota

100 wakabidhiwa nyumba Magomeni Kota

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Kamati ya Wakazi wa Magomeni Kota, wameanza kukabidhi nyumba kwa watu 100 kati ya 644 wanaopaswa [...]
1 141 142 143 144 145 193 1430 / 1921 POSTS
error: Content is protected !!