Category: Kitaifa

1 141 142 143 144 145 183 1430 / 1829 POSTS
Maombi ya Rais Samia kwa viongozi wa dini nchini

Maombi ya Rais Samia kwa viongozi wa dini nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na mauaji yanayoendelea nchini na kusema serikali inalaani matendo [...]
Nape atatua mzozo wa matangazo ya bunge kurushwa

Nape atatua mzozo wa matangazo ya bunge kurushwa

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameweka wazi hatima ya suala ya matangazo ya Bunge kurushwa mubashara lina haja ya [...]
Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ametoa onyo kwa mawazari pamoja na manaibu wao kuhakikisha wanahudhuria vikao vya [...]
Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ipo tayari kulipa gharama zote kwa walio tayari kuhama kwa hiari eneo la Ngorongoro na kusisitiza wanaot [...]
TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya ujio wa mvua kubwa za wastani mpaka juu ya wastani katika kipindi cha masika (Machi-Mei) kw [...]
Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza kutumia teknolojia ya skana za EDE kupima Uviko-19 kwa wasafiri wanaowasili na kusafiri kupitia uwanja wa nd [...]
Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Wakazi wa kitongoji cha Umasaini kilichopo nje kabisa ya mji wa Pangani, wameishukuru Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia madaras [...]
Wauzaji wa nyeti za binadamu wakamatwa

Wauzaji wa nyeti za binadamu wakamatwa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, ACP Richard Abwao amesema wanawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kujihusisha na uuzaji wa viungo vya binadamu ikiwem [...]
Meme ya P2 yamuibua Ummy Mwalimu 

Meme ya P2 yamuibua Ummy Mwalimu 

Meme ni maneno au picha zenye ujumbe wakuchekesha ambazo watu hutumiana kwa lengo la kufurahishana, meme hiz zimekuwa zikibeba jumbe mbalimbali na moj [...]
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
1 141 142 143 144 145 183 1430 / 1829 POSTS
error: Content is protected !!