Category: Kitaifa

1 148 149 150 151 152 183 1500 / 1828 POSTS
Zitto Kabwe afunguka sakata ya kuachiwa kwa Mbowe

Zitto Kabwe afunguka sakata ya kuachiwa kwa Mbowe

Hadi kufikia mwaka 2015, Tanzania ilikuwa katika hatua nzuri ya kuelekeza ukomavu wa demokrasia ya vyama vingi. Licha ya watu wengi kuonekana kuunga m [...]
UVIKO-19: Wizara ya Afya yasema kuna ongezeko la maambukizi lakini hakuna wimbi la nne

UVIKO-19: Wizara ya Afya yasema kuna ongezeko la maambukizi lakini hakuna wimbi la nne

Kufuatia kuwepo kwa mjadala kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwamba Tanzania hakuna wimbi la nne la ugonjwa 'Corona' pamoja na kauli ya Kat [...]
Jambazi asamehewa na polisi, baba amkataa

Jambazi asamehewa na polisi, baba amkataa

Baada ya kukiri kwamba alikuwa jambazi wa muda mrefu huku akiahidi kuwa raia mwema na kwamba kamwe hatafanya uhalifu, Jeshi la Polisi mkoani Geita lim [...]
Gwajima, Polepole kikaangoni

Gwajima, Polepole kikaangoni

Kamati ya Halamashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Taifa imeazimia kuwaita Jerry Silaa, Askofu Josephat Gwajima na Humphrey Polepole ili kuwas [...]
Madalali sasa ni rasmi, kuanza usajili Januari 2022

Madalali sasa ni rasmi, kuanza usajili Januari 2022

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, William Lukuvi ametoa mwongozo wa kusimamia shughuli za udalali nchini ili kuwatambua, kutambua shughu [...]
Kanisa lazua sintofahamu, lapiga marufuku wajazito kwenda kliniki

Kanisa lazua sintofahamu, lapiga marufuku wajazito kwenda kliniki

Kanisa moja la kigeni linalojulikana kama Akorino lililopo kata ya Nanjara, wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. limewapiga marufuku waumini wake wajaw [...]
Zitto Kabwe amuomba Rais Samia awezeshe kuachiwa kwa Mbowe

Zitto Kabwe amuomba Rais Samia awezeshe kuachiwa kwa Mbowe

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambaye pia ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muu [...]
Sababu za ACT kushiriki kikao kilichogomewa na CHADEMA

Sababu za ACT kushiriki kikao kilichogomewa na CHADEMA

Chama cha siasa cha 'Alliance for Change and Transparency' (ACT-Wazalendo) kimesema kitashiriki katika kikao cha wadau wa tasnia ya siasa kupitia Bara [...]
37 waugua na kulazwa kwa kipindupindu Nkasi

37 waugua na kulazwa kwa kipindupindu Nkasi

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Benjamin Chota ameotoa taarifa za kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu kwani tayari watu 37 ameripotiwa kuugua na kulazw [...]
Polisi yatoa ufafanuzi nyumba ya Polepole kuvunjwa

Polisi yatoa ufafanuzi nyumba ya Polepole kuvunjwa

Kamanda Mkuu wa Jeshi la polisi mkoani Dodoma, Onesmo Lyanga amethibitisha kuwa ni kweli Humphrey Polepole alivunjiwa dirisha la nyumba anayoishi na k [...]
1 148 149 150 151 152 183 1500 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!