Category: Kitaifa

1 170 171 172 173 174 195 1720 / 1944 POSTS
Tumbaku chanzo cha magonjwa ya moyo

Tumbaku chanzo cha magonjwa ya moyo

Prof. Mohamed Janabi ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili (JKCI) amesema takwimu zinaonyesha kuwa watu milioni nane hup [...]
Kijana wa kazi amnyonga bosi wake na kukimbia

Kijana wa kazi amnyonga bosi wake na kukimbia

Kijana wa kazi za nyumbani ambaye jina lake limehifadhiwa anadaiwa kumnyonga kumuua bosi wake kwa kumnyonga kwa kamba ya katani kisha kutokomea. Tukio [...]
Machinga kupewa majengo ya NHC

Machinga kupewa majengo ya NHC

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula ameagiza kuboreshwa kwa majengo matatu ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) a [...]
Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba us [...]
Ukatili kwa waandishi wa habari wapungua

Ukatili kwa waandishi wa habari wapungua

Ofisa Programu Mwandamizi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Paul Malimbo amesema matukio ya waandishi wa habari kupigwa, kunyang’anywa vifaa vyao vy [...]
EWURA yatangaza bei elekezi mafuta ya Petroli

EWURA yatangaza bei elekezi mafuta ya Petroli

Kutokana na ongezeko la bei ya mafuta ghafi tangu mwezi mei 2020 ambapo bei imeongezeka mara mbili kutoka wastani wa dola za kimarekani 32 kwa pipa mw [...]
Ushahidi wa maboksi ya fedha kwenye kesi ya Sabaya

Ushahidi wa maboksi ya fedha kwenye kesi ya Sabaya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imepokea video sita zilizokuwa kwenye 'flash disk' iliyowasilishwa kama ushahidi wa upande wa Jamhuri katika [...]
Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani wa Mwankulu Manispaa ya Mpanda, Kapili Katani amelalamikia kampeni inayofanywa na watoa huduma wa tohara kwa wanaume kwa kuwataka wanawake kuwa [...]
Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Shimbale, Gaudensia Anyangi(45), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu kwa tuhuma za kufanya udanganyifu katika [...]
Rugemalira arudi Mahakamani tena

Rugemalira arudi Mahakamani tena

Mfanyabiashara James Rugemalira, ameanza harakati za kufungua mashtaka dhidi ya taasisi anazozituhumu kuhusika katika wizi wa trilioni 61 za Serikali [...]
1 170 171 172 173 174 195 1720 / 1944 POSTS
error: Content is protected !!