Category: Kitaifa

1 175 176 177 178 179 201 1770 / 2005 POSTS
Madini bado yanatoroshwa

Madini bado yanatoroshwa

Licha ya Serikali kutangaza kuziba mianya ya utoroshaji wa madini, baadhi ya wabunge wamesema bado rasilimali hiyo inatoroshwa. Mjadala huo mzito umei [...]
Mume auwawa kwa kutaka kuongeza mke wa pili

Mume auwawa kwa kutaka kuongeza mke wa pili

Limi Shija (55) mkazi wa Kijiji cha Kabage wilayani Tanganyika mkoani Katavi, anatuhumiwa kwa mauaji ya mume wake Masunga Kashinje (68), kisha mwili w [...]
Siku 5 za neema toka Bodi ya Mikopo kwa wanaotaka kuongezewa na waliokosa mkopo

Siku 5 za neema toka Bodi ya Mikopo kwa wanaotaka kuongezewa na waliokosa mkopo

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumamosi, Novemba 6, 2021) imefungua dirisha la rufaa ili kuwawezesha waombaji ambao hawajapa [...]
Maoni ya wadau juu ya faragha ya taarifa mitandaoni

Maoni ya wadau juu ya faragha ya taarifa mitandaoni

Baada ya kelele za kutaka kuwepo kwa sheria ya kulinda data nchini kuwa nyingi, wadau mbalimbali wametaka hatua za haraka zichukuliwe ili kulinda fara [...]
Jela Maisha, kumbaka mtoto wa miaka miwili

Jela Maisha, kumbaka mtoto wa miaka miwili

Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, imemhukumu kifungo cha maisha jela Maduhu Tarasisi Chubwa mwenye umri wa miaka 60 mkazi wa [...]
TRC wafunguka kuhusu video ya treni inayosambaa mtandaoni

TRC wafunguka kuhusu video ya treni inayosambaa mtandaoni

Kutokana na video inayosambaa kwa kasi mtandaoni ikionesha treni ya Shirika la Reli Tanzania kutokea Kigoma kuelekea Dodoma ikiwa imechoka kiasi cha k [...]
Wataka magari yapite kwa tozo kwenye daraja la Tanzanite

Wataka magari yapite kwa tozo kwenye daraja la Tanzanite

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam ya [...]
Mapendekezo 4 ya Bunge kumaliza sakata la Machinga

Mapendekezo 4 ya Bunge kumaliza sakata la Machinga

Kutokana na zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (Machinga) katika maeneo yasiyo rasmi na kuwapeleka katika maeneo waliyopangiwa, Bunge la Jamhur [...]
Mwenyekiti atishia kujiuzulu kwasababu ya kutoheshimiwa

Mwenyekiti atishia kujiuzulu kwasababu ya kutoheshimiwa

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ngassa Mboje, ametishia kujiiuzulu nafasi hiyo kwa madai ya kutokuheshimiwa na Mkurugenzi mtendaji wa [...]
Rais Samia: Tuna kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano

Rais Samia: Tuna kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano

Rais Samia Suluhu amesema Maalim Seif amewaachia Watanzania kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano. Rais Samia ameeleza hayo wakati ya Hotuba [...]
1 175 176 177 178 179 201 1770 / 2005 POSTS
error: Content is protected !!