Category: Kitaifa
Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete
Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Rais wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Oktoba 7, 2021, kila mtu ameonesha hisia zake katika kush [...]
Wafahamu viongozi 7 waliowahi kuwa wakaguzi wakuu na wadhibiti wa hesabu za Serikali Tanzania tangu 1961
Kabla ya uhuru wa Tanganyika ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ilifahamika kama Idara ya Ukaguzi ndani ya Tanganyika na Kiongozi [...]
Rais akoshwa majengo ya mahakama kutenga maeneo kwa wanaonyonyesha
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kufurahishwa na majengo ya mahakama yaliyojengwa katika mikoa mitano nchini kutenga maeneo kwa makundi maalum ikiwem [...]
27 wakamatwa kwa kuiba saruji baada ya lori kupata ajali Mbagala
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata watu 27 wanaotuhumiwa kuiba mifuko ya saruji baada ya malori mawili kupata ajali eneo la Mbag [...]
Bei mpya za mafuta mwezi Oktoba
Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya ya mafuta ya petroli kupanda kwa Sh.12 badala ya Sh.145 [...]
Membe amuomba kazi Rais Samia
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na mgombea Urais wa Tanzania, kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo mwaka 2020 Bernard Membe amesema ameridhishw [...]
Kauli ya Rais Samia kuhusu tozo
Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza kupunguzwa kwa tozo zinazotozwa na taasisi mbalimbali katika bidhaa za mafuta hapa nchini zenye thamani ya shilin [...]
Mjue Mtanzania aliyehusika kufichua Skendo ya Pandora
Pandora ni skendo inayohusisha watu mashuhuri duniani na mtandao mkubwa wa shughuli haramu katika masuala ya fedha na uwekezaji. Skendo hii inahusisha [...]
Mfumo mpya wa maegesho Dar, fahamu jinsi ya kulipia, faida na changamoto zake
Mkoa wa Dar es Salaam umeanzisha mfumo wa kutoza ushuru wa maegesho kwa njia ya kieletroniki. Mfumo uliokuwa unatumika awali wa risiti za karatasi amb [...]
Serikali: Wafanyabiashara wadogo watengewe maeneo yanayofikika
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa kuzisimamia Halmashauri nchini ili kuhakikisha zinaandaa maeneo mazuri yanayofikika [...]