Category: Kitaifa

1 177 178 179 180 181 195 1790 / 1943 POSTS
Leo katika Historia: Mwl. Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania anafariki

Leo katika Historia: Mwl. Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania anafariki

Hii ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere, Rais na mwasisi wa Tanzania. Nyerere alizaliwa Aprili 13 [...]
Mahakama yampa ushindi wa kwanza Jacqueline Mengi

Mahakama yampa ushindi wa kwanza Jacqueline Mengi

Mahakama ya Rufani nchini imetupilia mbali pingamizi dhidi ya maombi ya Mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, Marehemu Reginald Mengi, Jac [...]
Maelekezo ya Waziri Mkuu kwa vijana wanaotumia mitandao ya kijamii

Maelekezo ya Waziri Mkuu kwa vijana wanaotumia mitandao ya kijamii

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi vijana nchini kutotumia mitandao ya kijamii kwa mambo ya kiuhalifu badala yake watumie mitandao hiyo katika kuku [...]
Serikali kuajiri wahandisi 260

Serikali kuajiri wahandisi 260

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ameeleza serikali imetoa kibali cha kuajiri wahandi [...]
Ujumbe uliotumwa na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa kwenda kwa Rais Samia

Ujumbe uliotumwa na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa kwenda kwa Rais Samia

Wafungwa waliopo gereza la Uyui mkoani Tabora wametuma salamu kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia risala iliyosomwa na mfungwa kiongozi, Masali Mis [...]
Bodaboda walalamika kuchapwa bakora na polisi

Bodaboda walalamika kuchapwa bakora na polisi

Madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wamemlalamikia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere kuwa polisi wamekuwa  wakiwachapa bakora bila kuj [...]
Shuhuda aelezea Ofisa Mtendaji wa Kata alivyouawa ofisini Dar es Salaam

Shuhuda aelezea Ofisa Mtendaji wa Kata alivyouawa ofisini Dar es Salaam

Ziana Mohammed, shuhuda wa mauaji ya Ofisa Mtendaji wa Kata ya Mbezi Msumi, Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Kelvin Mowo, amesema  alienda ofisi [...]
Mgawanyo wa fedha za IMF kaa la moto kwa wakuu wa mikoa

Mgawanyo wa fedha za IMF kaa la moto kwa wakuu wa mikoa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala Mikoa na Serikali ya Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu ameanisha mgawo wa fedha Sh bilioni 535.6 kati ya Sh trilioni [...]
IGP Sirro ahamisha Makamanda wa mikoa watatu

IGP Sirro ahamisha Makamanda wa mikoa watatu

Taarifa kutoka Jeshi la Polisi imeeleza kuwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini, IGP Simon Sirro  tarehe 4/10/2021 alifanya mabadiliko ya Makamanda watatu kwa [...]
Waumini wamkataa Mchungaji aliyeiba Mke wa Mzee wa Kanisa

Waumini wamkataa Mchungaji aliyeiba Mke wa Mzee wa Kanisa

Mchungaji wa Ushirika mmoja wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri mkoani Morogoro analalamikiwa kwa tuhuma za kuchukua mke wa aliyekuwa Mzee wa Kanisa hi [...]
1 177 178 179 180 181 195 1790 / 1943 POSTS
error: Content is protected !!