Category: Kitaifa

1 60 61 62 63 64 198 620 / 1974 POSTS
Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere

Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere

Serikali imesema hadi jana asubuhi, mita za maji 111 juu ya usawa wa bahari zilikuwa zimejazwa katika mradi wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme kwa m [...]
Fahamu kuhusu asali

Fahamu kuhusu asali

Wengi wetu tumezoea asali kwa matumizi ya kula lakini kama ulikua hujui pia ni tiba ya ngozi pamoja na kuzui chunusi. Kutokana na uwezo wa asali ku [...]
Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali

Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali

Serikali imechukua usimamizi wa Hospitali ya Dar Group na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuwa Hospitali hiyo sasa itasimamiwa na Taasisi ya Mo [...]
Sekretarieti mpya ya CCM

Sekretarieti mpya ya CCM

Katibu Mkuu- Daniel Chongolo Naibu Katibu Mkuu - Bara, AnaMringi Macha Naibu Katibu Mkuu- Zanzibar- Mohamed Said Dimwa Katibu Itikadi na Uene [...]
Waliotimiza miaka 18 kupatiwa chanjo ya Uviko-19

Waliotimiza miaka 18 kupatiwa chanjo ya Uviko-19

Serikali imesema itaanza kuwafikia vijana ambao hawakuwa wamefikisha umri wa kupata chanjo ya Uviko-19 tangu zoezi hilo lianze miaka mitatu iliyopita [...]
Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Watu 48 wameokolewa katika mafuriko na kuhifadhiwa ofisi ya Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro kupatiwa msaada wa dharura na serikali, kufuatia mvu [...]
Qayllah wa Shetta ateuliwa kuwa Mjumbe CCM

Qayllah wa Shetta ateuliwa kuwa Mjumbe CCM

Mtoto wa mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva Shetta afahamikaye kwa jina la Qayllah Nurdin ameteuliwa na Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dar e [...]
CCM Geita yakosoa usambazaji mbolea ya ruzuku

CCM Geita yakosoa usambazaji mbolea ya ruzuku

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita kimeeleza kutoridhishwa na mwenendo wa usambazaji wa mbolea ya ruzuku kwa wakulima kutokana na mchakato huo ku [...]
Mabasi 4 ya mwendokasi yatengwa kwa ajili ya wanafunzi

Mabasi 4 ya mwendokasi yatengwa kwa ajili ya wanafunzi

Wakala wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) imetenga mabasi manne makubwa asubuhi na jioni kwa ajili ya kubeba wanafunzi wa shule za msingi [...]
Mwanafunzi wa chuo ajiua kwa kujinyonga

Mwanafunzi wa chuo ajiua kwa kujinyonga

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) , Gunze Luhangija amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa ni msongo wa mawaz [...]
1 60 61 62 63 64 198 620 / 1974 POSTS
error: Content is protected !!