Category: Kitaifa
11 kunyongwa mauaji ya mpinga ujangili
Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu 11 waliokutwa na hatia ya kumuua mwanaharakati wa ujangili, raia wa [...]
Sababu za Rais Samia kutunukiwa Shahada ya Udaktari
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa shahada ya juu ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutokana na mabadiliko makubw [...]
Matokeo zaidi ya 2,000 ya wanafunzi darasa la saba yafutwa, shule 24 zafungiwa
Wakati maelfu ya watahiniwa wa mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2022 wakiwa na furaha baada ya matokeo yao kutangazwa, wenzao 2,194 wapo katika maj [...]
Dkt. Rais Samia: Dunia yote inawasubiri
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amewapongeza wahitihu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam waliohitimu leo Novemba 30, 20 [...]
Bidhaa za Tanzania kutotozwa ushuru Uingereza
Serikali ya Uingereza imefungua milango kwa bidhaa za Tanzania kulifikia soko la nchi hiyo bila kutozwa ushuru.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwek [...]
Uhaba wa malisho chanzo cha bei ya nyama kupaa
Meneja wa Shughuli za Masoko wa Bodi ya Nyama nchini, John Chasama amesema uhaba wa ng'ombe unaosababishwa na kukosekana kwa malisho kumepelekea bei y [...]
Ajinyonga siku ya kwenda kutoa mahari
Dk Joseph Ngonyani anadaiwa kujinyonga kwa kutumia shuka akiwa nyumbani kwake kitongoji cha Saghana na kuacha simanzi na vilio kwa ndugu na majirani.
[...]
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Rais Samia azitaka Jumuiya CCM kuvunja makundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Jumuiya ya Wanawake UWT kuongeza Nguvu katika k [...]
Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa
Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 7 kwa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa maji kat [...]