Category: Kimataifa
Uingereza yakubali vyeti vya chanjo ya UVIKO-19 kutoka Tanzania
Octoba 7, 2021 Serikali ya Uingereza kupita Ubalozi wake nchini Tanzania ulitoa tamko la kupunguza vikwazo vya kuingia Uingereza kwa watanzania na wai [...]
Facebook yabadili jina
Mtandao wa Facebook umechukua uamuzi wa kubadili jina lake lililozoeleka na wengi na kujiita 'Meta'. Facebook imesema kuwa kufanya hivyo ni moja ya ha [...]
Mohamed Ibrahim: Kijana wa miaka 36 aliyezama kwenye penzi la Kikongwe wa miaka 82
Iris, kikongwe wa miaka 82, anaonekana mwenye furaha kila amzungumziapo mume wake wa ndoa, Mohamed Ibrahim raia wa Misri mwenye miaka 36.
Mohamed a [...]
Familia yakataa kumzika ndugu yao aliyeua watoto 10
Familia ya mshukiwa sugu wa mauaji ya watoto zaidi 10 aliyeuawa kwao baada ya kutoroka mahabusu ya polisi imemkana na kusema haitomzika kwa sababu ina [...]
Mtoto auzwa kwa milioni 1 kukabili njaa
Taifa la Afghanistan linapitia kipindi kigumu tangu wanamgambo wa Kiislamu wa Taliban kufanya mapinduzi ya Kijeshi Agosti mwaka huu. Nchi za Magharibi [...]
Leo katika Historia: Majeshi ya Uingereza na Ujerumani yanapigana huko Misri
Siku kama ya leo mwaka 1942, vita vya kihistoria vilivyopewa jina la El-Alamein vilitokea katika mji wenye jina kama hilo huko Kaskazini mwa Misri kat [...]
Binti wa Mayweather hatarini kufungwa miaka 20 kwa kugombea penzi
Aprili 2, 2020 Yaya Mayweather alikwenda nyumbani kwa mpenzi wake, rapa NBA YoungBoy na kumkuta aliyewahi kuwa mpenzi wa mchumba wake huyo, Lapattra L [...]
Malkia Elizabeth wa Uingereza avuliwa madaraka
Bunge la Kisiwa cha Barbados limemchagua Bi. Dame Sandra Mason (72) kwa Rais wa kwanza wa Taifa hilo na pia Rais wa kwanza Mwanamke baada ya kumuondoa [...]
Kijana Mtanzania alivyouawa kwa risasi Marekani
Kijana wa Kitanzania, Humphrey Magwira mwenye umri wa miaka 20, ameuawa kikatili kwa kupigwa risasi na kufariki papo hapo.
Humphrey alikuwa akiende [...]
Maisha ya Wasomali matatani Baada ya kifo cha waziri wa Uingereza
Mwakilishi wa Baraza la Mashirika ya Wasomali (CSO) Charlotte Gallagher amesema kwamba Wasomali na watu wenye asili ya Kisomali wamekua wakipokea [...]