Category: Kitaifa

1 140 141 142 143 144 183 1420 / 1830 POSTS
Viongozi wa dini wateta haya na Rais Samia kuhusu kesi ya Mbowe

Viongozi wa dini wateta haya na Rais Samia kuhusu kesi ya Mbowe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu maendeleo ya nchi katika kik [...]
Serikali yakutana na kamati ya wazazi wa watoto wanaosoma UKraine

Serikali yakutana na kamati ya wazazi wa watoto wanaosoma UKraine

Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe.Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na kamati ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma nchini Ukraine ambapo amewati [...]
Tanzania kutangazwa bure Burj Khalifa mwezi mzima

Tanzania kutangazwa bure Burj Khalifa mwezi mzima

Baada ya kuwa na sitofahamu kuhusu bendera ya Tanzania pamoja na picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuonekana [...]
UJENZI WA VETA WAGUSA MAISHA YA VIBARUA MKINGA

UJENZI WA VETA WAGUSA MAISHA YA VIBARUA MKINGA

Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga ni kati ya maeneo yaliyonufaika na ujenzi wa vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) unaoendelea kufanywa na Se [...]
Rais Samia afungua milango ya uwekezaji

Rais Samia afungua milango ya uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaalika wawekezaji wa Dubai kuja kuwekeza nchi huku akiwahakikishia mazingira mazu [...]
Mapendekezo ya ACT-Wazalendo juu ya watanzania waishio Ukraine

Mapendekezo ya ACT-Wazalendo juu ya watanzania waishio Ukraine

Chama cha ACT Wazalendo kimeimba serikali ya Tanzania wakishirikiana na Wizara ya Mambo ya nje kutuma ndege itakayoweza kuwafuata watanzania waliopo n [...]
Taarifa: Hali ya watanzania waishio Ukraine

Taarifa: Hali ya watanzania waishio Ukraine

Wizara ya Mmabo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na Serikali ya Tanzania imetoa taraifa kwamba mpaka sas ahakuna mtanzania aliyepata m [...]
Monalisa amlilia mtoto wake aliye Ukraini

Monalisa amlilia mtoto wake aliye Ukraini

Muigizaji wa filamu nchini, Yvonne Cherrie maarufu kama Monalisa ameeleza hali anayopitia kwa sasa wakati mtoto wake yupo nchini Ukraine kwa masomo. [...]
Mwanafunzi aandika barua ya kuacha shule

Mwanafunzi aandika barua ya kuacha shule

Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Msimbati, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Taufiki Salumu Hamisi ameandika barua yakuacha shule baada ya kuchaguli [...]
Jela miaka 60 baada ya kumbaka mama miaka 56

Jela miaka 60 baada ya kumbaka mama miaka 56

Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma imemhukumu kifungo cha miaka 60 jela, Daudi Samson (22) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwana [...]
1 140 141 142 143 144 183 1420 / 1830 POSTS
error: Content is protected !!