Category: Kitaifa

1 160 161 162 163 164 186 1620 / 1851 POSTS
Jela Maisha, kumbaka mtoto wa miaka miwili

Jela Maisha, kumbaka mtoto wa miaka miwili

Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, imemhukumu kifungo cha maisha jela Maduhu Tarasisi Chubwa mwenye umri wa miaka 60 mkazi wa [...]
TRC wafunguka kuhusu video ya treni inayosambaa mtandaoni

TRC wafunguka kuhusu video ya treni inayosambaa mtandaoni

Kutokana na video inayosambaa kwa kasi mtandaoni ikionesha treni ya Shirika la Reli Tanzania kutokea Kigoma kuelekea Dodoma ikiwa imechoka kiasi cha k [...]
Wataka magari yapite kwa tozo kwenye daraja la Tanzanite

Wataka magari yapite kwa tozo kwenye daraja la Tanzanite

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam ya [...]
Mapendekezo 4 ya Bunge kumaliza sakata la Machinga

Mapendekezo 4 ya Bunge kumaliza sakata la Machinga

Kutokana na zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (Machinga) katika maeneo yasiyo rasmi na kuwapeleka katika maeneo waliyopangiwa, Bunge la Jamhur [...]
Mwenyekiti atishia kujiuzulu kwasababu ya kutoheshimiwa

Mwenyekiti atishia kujiuzulu kwasababu ya kutoheshimiwa

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ngassa Mboje, ametishia kujiiuzulu nafasi hiyo kwa madai ya kutokuheshimiwa na Mkurugenzi mtendaji wa [...]
Rais Samia: Tuna kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano

Rais Samia: Tuna kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano

Rais Samia Suluhu amesema Maalim Seif amewaachia Watanzania kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano. Rais Samia ameeleza hayo wakati ya Hotuba [...]
Hoteli ya nyota 5 itakayojengwa Dodoma

Hoteli ya nyota 5 itakayojengwa Dodoma

Jiji la Dodoma linatarajia kuwa na hoteli yenye hadhi ya nyota tano ifikapo mwaka 2024 baada ya kampuni ya 'Louvre Hotels Group' (Golden Tulip) kuweka [...]
Tumbaku chanzo cha magonjwa ya moyo

Tumbaku chanzo cha magonjwa ya moyo

Prof. Mohamed Janabi ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili (JKCI) amesema takwimu zinaonyesha kuwa watu milioni nane hup [...]
Kijana wa kazi amnyonga bosi wake na kukimbia

Kijana wa kazi amnyonga bosi wake na kukimbia

Kijana wa kazi za nyumbani ambaye jina lake limehifadhiwa anadaiwa kumnyonga kumuua bosi wake kwa kumnyonga kwa kamba ya katani kisha kutokomea. Tukio [...]
Machinga kupewa majengo ya NHC

Machinga kupewa majengo ya NHC

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula ameagiza kuboreshwa kwa majengo matatu ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) a [...]
1 160 161 162 163 164 186 1620 / 1851 POSTS
error: Content is protected !!