Category: Kimataifa

1 45 46 47 48 49 55 470 / 550 POSTS
Waziri Mkuu azuru eneo la mauaji ya Mbunge

Waziri Mkuu azuru eneo la mauaji ya Mbunge

Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson leo Jumamosi amezuru eneo ambalo Mbunge wa Chama wa Wahafidhina, Sir. David Amess amechomwa kisu na kufariki s [...]
300 wakamatwa kwa kutotumia daraja la watembea kwa miguu

300 wakamatwa kwa kutotumia daraja la watembea kwa miguu

Watu zaidi ya 300 wamekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Kenya kwa kosa la kutotumia daraja la juu la watembea kwa miguu lililowekwa kwa ajili ya  kuvu [...]
Leo katika historia: Shirika la Chakula Duniani (FAO) liliasisiwa

Leo katika historia: Shirika la Chakula Duniani (FAO) liliasisiwa

Tarehe na mwezi kama wa leo (Oktoba 16) mwaka 1945, Shirika la chakula duniani (FAO) liliasisiwa. Shirika hilo ambalo hati ya kuasisiwa kwake lilipiti [...]
Mwanafunzi wa darasa la 6 amuua mwenzake kisa ugali

Mwanafunzi wa darasa la 6 amuua mwenzake kisa ugali

Polisi kwenye kaunti ya Kakamega nchini Kenya wanamshikilia mwanafunzi wa darasa la Sita mwenye umri wa  miaka 14 anayeshutumiwa kumuua mwenzake kwa k [...]
Mbunge auawa kwa kuchomwa kisu

Mbunge auawa kwa kuchomwa kisu

Mbunge wa Chama cha Wahafidhina (Conservative) nchini Uingereza, Sir. David Amess amefariki baada ya kuchomwa visu mara kadhaa wakati akifanya ziara z [...]
Sharubati (Juice) za Ceres zakutwa na sumu

Sharubati (Juice) za Ceres zakutwa na sumu

Kampuni kutoka Afrika Kusini inayotengeneza sharubati aina ya Ceres imerudisha kiwandani baadhi ya bidhaa hizo zilizosambazwa kwenye nchi saba kutokan [...]
Apple kusitisha kuzalisha iPhone 13

Apple kusitisha kuzalisha iPhone 13

Kampuni ya Apple kuacha kuzalisha iPhone 13 kwa muda kutokana na uhaba wa vipuli (spare) aina ya ‘chip’, kipuli ambacho hufanya simu za iphone kufanya [...]
Boss wa Samsung hatiani kutumia madawa

Boss wa Samsung hatiani kutumia madawa

Mahakama nchini Korea Kusini imemkuta na hatia ‘Boss’ wa Samsung, Jay Lee aliyekuwa askishtakiwa kwa makosa ya kutumia dawa ambazo zimekatazwa kutumik [...]
Majasusi wa Urusi wahusishwa na wizi wa ‘formula’ ya chanjo Uingereza

Majasusi wa Urusi wahusishwa na wizi wa ‘formula’ ya chanjo Uingereza

Vyanzo vya habari vya Uingereza vimekuwa vikieneza uvumi kuwa Urusi imeiba njia (formula) ya kutengeneza chanjo aina ya AstraZeneca na kutengeneza cha [...]
Somalia yashinda mgogoro wa mpaka na Kenya

Somalia yashinda mgogoro wa mpaka na Kenya

Mahakama ya Kimataifa ya Umoja wa Mataifa (ICJ) imetoa hukumu juu ya mgogoro wa bahari kati ya Somalia na Kenya, eneo ambalo linasemekana kuwa na utaj [...]
1 45 46 47 48 49 55 470 / 550 POSTS
error: Content is protected !!