Category: Kimataifa

1 49 50 51 52 53 55 510 / 550 POSTS
Zijue sekta 10 za uwekezaji ambazo zitakupa faida kwa haraka

Zijue sekta 10 za uwekezaji ambazo zitakupa faida kwa haraka

Mwaka 2013, Bara la Afrika lilikuwa linaongoza kwa kukua haraka kiuchumi kwa asilimia 5.6%, ambapo ni kiwango cha juu kuliko bara lolote kwa wakati hu [...]
Pandora Leaks: Tambua njia wanazotumia viongozi wakubwa duniani kuiba mali

Pandora Leaks: Tambua njia wanazotumia viongozi wakubwa duniani kuiba mali

Habari iliyopo duniani kwa sasa ni kuhusu 'Pandora Leaks,' ambazo ni nyaraka za siri zaidi ya mafaili milioni 12 ambayo yanaonesha mtandao wa fedha za [...]
Afariki baada ya kulipukiwa na bomu aliloliokota

Afariki baada ya kulipukiwa na bomu aliloliokota

Mtu mmoja mwenye asili ya Ujerumani amefariki dunia nchini Australia baada ya kulipukiwa na bomu ambalo aliliokota ziwani. Mtu huyo mwenye umri wa [...]
Penzi la kweli linavyoitikisa ngome ya kifalme Japani

Penzi la kweli linavyoitikisa ngome ya kifalme Japani

Mako, mpwa wa Mfalme wa Japani Nahurito, amezama kwenye penzi zito la kijana Komuro ambaye ni Mwanasheria. Ndoa ya Mako na Komuro inatarajiwa kufungwa [...]
Mwanafunzi wa chuo Kikuu auawa na aliyekuwa mpenzi wake

Mwanafunzi wa chuo Kikuu auawa na aliyekuwa mpenzi wake

Mvulana mmoja nchini Kenya amemchoma kisu hadi kumuua aliyekuwa mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Mercy ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu ch [...]
Kauli ya serikali kuhusu magari ya Tanzania yaliyokwama Malawi

Kauli ya serikali kuhusu magari ya Tanzania yaliyokwama Malawi

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake nchini Malawi inafuatilia taarifa kuhusu magari ya mizigo ya wasafirishaji wa Tanzania yaliyokwama nchini hu [...]
Fahamu juu ya mtandao kuzimwa leo Duniani

Fahamu juu ya mtandao kuzimwa leo Duniani

Haupaswi kuwa na wasiwasi wa kutokuwa na mtandao wa 'internet' kwenye simu yako au kompyuta yako kuanzia leo Septemba 30, labda kama unatumia kifaa ch [...]
Watoto wafanyiwa majaribio ya chanjo ya UVIKO-19

Watoto wafanyiwa majaribio ya chanjo ya UVIKO-19

Wakati mataifa yote duniani yanaendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19) kwa kuhakikisha watu wanaendelea kupatiwa chanjo [...]
Mwanamuziki R. Kelly akutwa na hatia

Mwanamuziki R. Kelly akutwa na hatia

Msanii gwiji wa miondoko ya RnB, Robert Kelly, maarufu R. Kelly amekutwa na hatia ya makosa ya ukatishaji fedha, kujipatia fedha kwa nguvu pamoja na k [...]
Mambo 7 ya kushangaza usiyoyajua kuhusu tendo la ndoa

Mambo 7 ya kushangaza usiyoyajua kuhusu tendo la ndoa

Tendo la ndoa huaminika kuwa miongoni mwa mambo ya kale zaidi ulimwenguni na bila shaka, binadamu wasingeendelea kuwepo bila kuendelea kufanyika kwa t [...]
1 49 50 51 52 53 55 510 / 550 POSTS
error: Content is protected !!