Category: Kimataifa
Kampeni za uchaguzi zamponza msanii, ajitoa tuzo za AFRIMMA
Mwanamuziki Slapdee ametumia ukurasa wake wa Facebook kuomba radhi kwa waandaji wa tuzo za AFRIMMA na kuomba kutolewa kwenye tuzo hizo.
Slapdee ame [...]
Nchi maskini deni limeongezeka maradufu – Ripoti ya Benki ya Dunia
Ripoti ya takwimu za madeni ya mwaka 2022 inayotolewa na Benki ya Dunia inaeleza kuwa madeni ya nchi za kipato cha chini yameongezeka kwa asilimia 12 [...]
Mtanzania Abby Chams kwenye show kubwa ya ‘Kelly Clarkson
Kwenye maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani binti wa Kitanzania Abby Chams ambaye ni mwanamuziki amepata nafasi ya kuwakilisha Wasichana wa Ta [...]
Mauzo albam ya R Kelly yaongezeka
Mauzo ya albamu ya R. Kelly yameongezeka kwa asilimia 517%, na uhitaji wa albamu hiyo kwa mwaka 2021 ni milioni 6.4, licha ya Septemba 27 mwanamuziki [...]
TikTok kuanza kutumika kwenye “Smart TV”
Mtandao wa TikTok ambao umekuwa jukwaa la elimu na burudani unaingia katika vitabu vya historia kati ya mitandao ya kijamii yenye ‘app’ ya moja kwa mo [...]
Wilder apasuka mdomo, avunjika Mkono na Kidole
Imeelezwa kuwa, Deontay Wilder, Bondia Mmarekani aliyechezea kichapo katika ardhi ya nyumbani nchini Marekani toka kwa Bondia toka Uingereza Tyson Fur [...]
Marufuku kuvua kondomu wakati wa kujamiiana
Baada ya miaka 4, Jimbo la California nchini Marekani limepitisha sheria mbili ambazo zinalenga kudhibiti makosa ya kingono ambapo sheria ya kwanza im [...]
Rais akimbia na mabegi ya fedha
Piraz Ata Sharifi aliekuwa mlinzi wa Rais wa Afghanistan amesema baada ya serikali ya nchi hiyo kupinduliwa, aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Ashraf Ghan [...]
Star wa Series ya “Empire”, Taraji sasa kuhamia kwenye muziki
Mwigizaji nyota toka nchini Marekani, Taraji Henson, ambaye amejizolea umaarufu mkubwa ulimwenguni kupitia ‘Series’ ya Power, ametangaza rasmi kuanza [...]
Fahamu kuhusu sare mpya za wahudumu wa ndege Ukraine
Shirika binafsi la ndege nchini Ukraine linalojulikana kama ‘SkyUp Airlines’ linatarajia kuwa na sare mpya kwa wahudumu wake ambazo zitakua suti na ra [...]