Category: Kimataifa
Maisha ya Wasomali matatani Baada ya kifo cha waziri wa Uingereza
Mwakilishi wa Baraza la Mashirika ya Wasomali (CSO) Charlotte Gallagher amesema kwamba Wasomali na watu wenye asili ya Kisomali wamekua wakipokea [...]
Watumishi 15 wa Mungu watekwa
Watumishi wa Mungu wapatao 15 na familia zao wamevamiwa na kutekwa na kundi la wahalifu nchini Haiti eneo la Port-au- Prince walipoenda kutembelea ki [...]
Zawadi ya Messi yamfurahisha Papa
Mchezaji bora wa Dunia mara 6, Lionel Messi amempatia zawadi Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. Mess amempatia Papa jezi aliyoipiga sa [...]
Leo katika historia: Redio ya BBC iliasisiwa rasmi
Tarehe kama ya leo mwaka 1922, Redio ya BBC iliasisiwa huko England. Redio ya BBC awali ilikuwa ya mtu binafasi, lakini mwaka 1927 redio iliwekwa chin [...]
Simu 50 zitakazofungiwa kabisa kutumia WhatsApp kuanzia Novemba 1, 2021
Kama wewe ni mtumiaji wa WhatsApp, basi unapaswa kukaa chonjo sana na utazame simu yake kama imo kwenye idadi ya simu ambazo zitashindwa kabisa kutumi [...]
Zijue aina za habari ambazo huruhusiwi kuweka Facebook sasa
Mtandao wa Facebook unawatumiaji bilioni 2.85 kila mwezi. Watumiaji wa mtandao huo huutumia kwa matumizi mbalimbali kama kutangaza biashara, kuwasilia [...]
Wanaotumia iPhone hizi hatarini kuikosa Whatsapp
Kampuni ya Facebook, inayomiliki mtandao wa WhatasApp, imetangaza kuwa inaboresha mfumo wa programu tumishi wa WhatsApp hivyo kuwataka watumiaji wa ba [...]
Fahamu jinsi Nguruwe wanavyotumika kuimarisha usalama kwenye uwanja wa ndege
Nguruwe ni moja ya mnyamaa anayetumika kama kitoweo kwa baadhi ya watu. Kwa miaka mingi nguruwe amekuwa akitumika kama chakula, lakini kutokana na taf [...]
Apple yaondoa Application ya Quraan kwenye simu zake
Kampuni ya Apple, watengenezaji wa simu za iPhone imeondoka programu tumizi “app” ya ‘Quran Majeed’ kwenye simu za iPhone zinazotumika nchini China. A [...]
Mitandao ya kijamii yazimwa Swaziland
Serikali ya jamii ya watu wa Swazi chini ya mfalme Mswati wa III imelalamikiwa kwa kuzima mtandao nchini humo ili kuzuia watumiaji wa mitandao ya kija [...]