Category: Kimataifa
Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Huu ni msimu wa 18 ka [...]
Wafanyakazi 900 wafukuzwa kazi muda mmoja kupitia ‘Zoom Call’
"Kama umepokea simu hii muda huu, wewe ni mmoja ya watu waliofukuzwa kazi", aliongea Vishal Garg, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya kupangisha na kuuza ma [...]
Achinjwa hadi kufa kwa kuolewa bila ridhaa ya wazazi
Mwanamke mmoja, umri miaka 19 huko nchini India katika eneo la Aurangabad amevamiwa na kuchinjwa na kaka zake wawili baada ya kutoroshwa na kuolewa na [...]
Mwanamke aliyemshtaki daktari wa mama yake kwa kuzaliwa ashinda kesi
Mwanamke ambaye alimshtaki daktari wa mama yake akidai kwamba hakupaswa kuzaliwa ameshinda kesi na kutakiwa kulipwa mamilioni ya fidia. Evie Toombes, [...]
Aliyejioa ajipa talaka baada ya siku 90 ya ndoa yake
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Cris Galera mwenye umri wa miaka 33 alishika vichwa vya habari baada yakujioa miezi mitatau iliyopita, lakini [...]
Wanaume wa Kenya hawapendi kutumia kondomu
Mamilioni ya kondomu zinazotolewa bila malipo zinaweza kupotea kwani Wakenya hawazitumii. Hayo yamebainika wakati wa hafla ya Baraza la Kitaifa la Kud [...]
Rasmi kisiwa cha Barbados kuwa Jamhuri
Barbados imekuwa Jamhuri rasmi ikichukua nafasi ya Malkia wa Uingereza kama mkuu wake wa Serikali na kukata vifungo vya mwisho vya ukoloni vilivyosali [...]
Mwalimu wa kike ambaka mwanafunzi wa kiume mwenye miaka 15
Loise Martha Musyoka, mwalimu kutoka nchini Kenya Kaunti ya Nairobi wa shule ya Kayole ameshutumiwa kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa kiume mwenye mia [...]
GRAMMYS 2022: Afrika yaingiza watano (5) wasome hapa
Muda huu majina ya wasanii mbalimbali duniani yanatajwa kwenye vipengele mbalimbali kwenye kinyang'anyiro cha kura tuzo mbalimbali. Hizi zitakuwa tuzo [...]
Trump akabidhiwa mkanda wa mapigano
Rais aliyepita wa Marekani Donald Trump ametunukiwa mkanda wa heshima. Rais Donald Trump amekabidhiwa mkanda mweusi na taasisi na Chuo cha Taekwondo c [...]